5404744475_d2d09f03b2_b.jpg

Kilicho nifurahisha ni maadili.Angalia sketi ya Afande siyo kama sikuhizi askari wetu wakike wanavyo vaa vimini.
 
Hongera na Ahsante kwa kutukumbusha tuliko toka, tatizo ni kwamba hatuna dira kwa hivyo basi tuendako hatupaelewi na hata kama tukifika hatutaelewa kama ndio hapo maana hatupaelewi.
 
ind_4.jpg


Independence Day

Wataalamu wa masuala ya saikolojia na intelijensia usema kwamba unaweza kufahamu uwezo wa mtu wa akili na uelewa kwa kuangalia muonekano wa sura yake (au kitu kama hicho). Kama ni kweli, basi nilipoangalia picha hii, nimesikitika sana kwa taifa hili kukosa kumtumia ipaswavyo Mzee Kambona.
 
Leo tunasherehekea miaka 53 ya uhuru wa Tanganyika,kama vipi endelea kutupia picha za kumbukumbu.
 
Kilicho nifurahisha ni maadili.Angalia sketi ya Afande siyo kama sikuhizi askari wetu wakike wanavyo vaa vimini.

Hapo mkuu ukivaa kimini kuna jamaa wanapita na mikasi wakukiona una nguo fupi wanaichana hapo hapo
 
Hao kisutu miaka ya 60 ndio walikuwa wanavaa vijisketi vifupi namna hiyoo?
 
Back
Top Bottom