Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
Utaratibu wa benki kuu malipo ya cheki ni yasiyozidi Tzs.10,000,000 tu na zidi ya hapo ni transfer au cash deposit. Yawezekana kabisa voucher ndo msajiri hajapeleka hazina kwa sababu zake.
Nakubaliana na utetezi wako kwamba Msajili inawezakana hajafikisha hazina, bila yeye kufikisha voucher aliyoimwagia winu wake kama msajili wa vyama vya siasa Hazina haiwezi kufanya cho chote, ni utaratibu wa serikali yetu.