Hb wa Ilala
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,181
- 1,212
..kama ulivosema ni mtazamo kama ulivyo wako kwaio none of us is Right,na inaonekana wewe ulikuwa msafi sana ndo maana umefikia hatua ya kuweka hatima Ya nchi in a single photograph huku ukitoa unachokiona weweHuu ni mtazamo wako kwenye hii picha kwahiyo si vema kutaka kutuaminisha kuwa wewe ndio unajua zaidi au uko sahihi kuliko wengine
Na kama ulikuwa mchafu kuliko huyu mtoto basi una haki ya kumtetea