Hakuna umaskini mbaya Kama umaskini wa akili./.
Wewe wasema........Yaani wataka kusema kwamba akili za wa tz zina kaulemavu kwa mbali au !!!!
The president can use so many vehicles in his motorcade if deemed necessary. This could be due to security reasons. What's the big deal here?nasema hayo na tujiulize msafara wa rais wa nchi masikini gari 45 ndio umasikini au wananchi ndio masikini kuzindua jiji tu mji mzima wa arusha umejaa mashangingi na mount meru hospitali hakuna hata asprin je huu ni uungwana?
.....kaka ndani ya "mama afrika" iliyobarikiwa na aliejuu hakuna umasikini...lkn kuna kukosa nidhamu na madhara yake...itazame rwanda...hawana dhahabu wala mafuta...lkn wana nidhamu...! Na wanasonga mbele kwa kasi ya kushangaza (kama si kuonea gere)...geuka kisha itazame nigeria au sudan...au jamhuri ya muungano...nasema hayo na tujiulize msafara wa rais wa nchi masikini gari 45 ndio umasikini au wananchi ndio masikini kuzindua jiji tu mji mzima wa arusha umejaa mashangingi na mount meru hospitali hakuna hata asprin je huu ni uungwana?
The president can use so many vehicles in his motorcade if deemed necessary. This could be due to security reasons. What's the big deal here?
The president can use
so many vehicles in his motorcade if deemed necessary. This could be due
to security reasons. What's the big deal here?
Yaani wataka kusema kwamba akili za wa tz zina kaulemavu kwa mbali au !!!!
.....kaka ndani ya "mama afrika" iliyobarikiwa na aliejuu hakuna umasikini...lkn kuna kukosa nidhamu na madhara yake...itazame rwanda...hawana dhahabu wala mafuta...lkn wana nidhamu...! Na wanasonga mbele kwa kasi ya kushangaza (kama si kuonea gere)...geuka kisha itazame nigeria au sudan...au jamhuri ya muungano...
tanzania siyo maskini na watanzania baadhi siyo maskini
umaskini wa akili!!! hilo tu ndo tatizo kubwa Tanzania hamna jingine.. tukiliondoa hilo mengine yote yatasepa fasta
Using 45 vehicles for a motorcade is no big deal to you? Dude, come onnnn!