Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,599
- 368
Zomba a u out of mind or what? Mpaka mwalimu Nyerere anaondoka madarakani mwaka 1985, kulikuwa na reli ya Moshi ambayo, sisi tuliosoma kasikazini tuliifaidi saana kwa gharama zake nafuu. Hii reli ambayo leo inatumika kusafirisha abiria ilijengwa na mwalimu kwa ajili ya kiwanda cha urafiki ambacho leo hii sidhani kama kinafanya kazi tena. Tatizo la mwalimu Kambarage ni nn?Jitihada gani za Nyerere, yeye ndiye alyeuwa kila kitu Tanzania, usituchafuwe saa hizi.
Kwa mara ya kwanza tunaona treni ikipakia abiria mjini, kwa mara ya kwanza tunasikia treni ikiboreshwa. Nyerere alikuta treni toka Mjerumani, aliifanya nini badala ya kuiuwa na kuwa nyang'anyag'a.