ma TO mwisho sijuh aje ona kayombo alivodiso udsm
Huyu dogo nampata sana alisoma na mdogo wangu pale mzumbe advance wanasema alikuwa matata sana aisee
Olevel kapiga I ya 7
Advance kapiga I ya 4 PCM akiwa na BAA
T, O wa 2006 ni Elias Kihombo
Mgeni Makambi yupo Mbeya University anafundisha
Mkuu huyo shega tulisoma nae pale iyunga darasa na wote tulikuwa tuna kaa bweni moja la amri abeid mwenye kufahsmu alipo anijuze. Alikuwa kilaza wa ngeli balaa nakumbuka siku moja aliambiwa atoe speech akashindwa kwa hiyo academic prefect wetu emanueli urasa akamwambia basi kwa kuwa huwezi hilo basi badilisha neno hili liwe kiingereza "kijana amepamba moto" shega akasema kijana ni ki yesterday, amepamba ni amecotom, moto ni fire, kumbe akaunganisha akasema. Kiyesterday amecoton fire. Nilicheka saana. Nimekumbuka mbali isee
Kihombo, elias ni legendary wa ma T.O 2006 Tosamaganga achana na huyu mtu Petrol na Telecom engineer udsm
No..! 2007/9 telecom 2013/now petrol yuko ud hapaPetrol na Telecom??? Mbona haviendani mzee... Moja ni masters ama ....
Mkuu unamjua huyo mtu au unamskia,nimesoma nae advance, na chuo pale CoET ameondoka na 4.6 pale CoET akichukua civil engineering alafu unamuita mchumbaHuyo mchumba tuu... Watabe wanatoka Ilboru na Tabora boys over.
ingia Google hawa: Aron Gerson, Hassan Gwaay, Mgeni Makambi, Frank Shega, Samson Mongo
tabora boys iko juu, then ilboru, kibaha kwa mbaaali mzumbe.
Mkuu unamjua huyo mtu au unamskia,nimesoma nae advance, na chuo pale CoET ameondoka na 4.6 pale CoET akichukua civil engineering alafu unamuita mchumba
Yule jamaa anadeserve maana ni solver hatarikumbe yupo mbeya, maana kwenye ukurasa wake wa linkedn kaandika yuko Buzwagi Gold Mine as Telecom Engineer.
Nasikia Jamaa alidisco akaanza kuzunguka nchi nzima kwenye mashule anapigia madogo mapindi ya advance.
Na hao jamaa wametusua kweli.tandale school T.O 2009 - diamond platnumz.
kariakoo school T.O 2007 - ali kiba.
Teh teh teh teh teh teh teh........
Nisameheni bure wakuu....
Duh! Wanafunzi 200? Imekaaje Hiyo? Inanikumbusha jamaa wale wa mchikichini miaka ya 2002-2004Lugha nzuri ni walimdiscosisha kwa sababu ya ujuaji wake ila alipiga sana mpunga akiwa anafundisha
Imagine pale Bugarika ana darasa la wanafunzi around 200 na topic zote bei ni kuanzia elfu kumi hadi ishirini
Hapo anafundisha Physics,Chemistry na Pure Maths.System ya ukusanyaji pesa ilikua strict sana anatumia body guard wake
Sio mchezo wamekimbiza haswaaa......Na hao jamaa wametusua kweli.
kwa sasa ni marehemuShega yupo Vodacom pale Mliman city, anapiga kazi pale kama Telecom Engineer.