Tanzania one

salam zenu wakuu!.nimejaribu kutafuta historia ya wanafunzi bora(wa kwanza) au tanzania one hapa tanzania kwa kidato cha sita lakin sikufanikiwa kupata.
Naomba kwa yeyote mwenye historia ya mwanafunzi bora tanzania awasilishe kwenye uzi huu kwa kuzingatia vipengele vifuatavyo,
(a)mwaka aliohitimu kidato cha sita mwanafunzi huyo
(b)division
(c)wastani kwa ujumla wa masomo yote aliyofanyia mtihani
(d)shule aliyohitimu kidato cha nne na cha sita.

nionavyo mimi wewe ni form 6 ambaye unahis utafaulu vzuri…. endelea kufikiria hvohvo ukidhan NECTA ni shemeji zako
 
kuzungusha kuko kwingi, kama unamaanisha kuzungushia mkanda kiunoni basi hujakosea nishazungusha sana mkanda katika kusoma kwangu sijawahi faulu sana wala kufeli sana, ila kila wanapoenda waliofaulu sana nami niko nao

safi sana kaka….nimependa ujasiri wako… keep the spirit up... kuna rafiki yangu aliwahi kuniambia hvohvo..
 
1996-Mwigulu Nchemba(Advance level)
1974-Anna Semamba Makinda (O'Level)
1979-Lukuvi (O'Level)
Hata nanii pia(Nape)alishawai kushika hizi nafasi
 
a.kinana kwa sasa anatalii mikoani kueleza usikivu wa serikali ya ccm
 
Frank Shega T.O 2009 tabora boys.
Mgeni Makambi T. O 2007 Tabora boys.
Omary Zuberi T. O 2006 Tabora boys.
Wote hao walikua PCM.
Mkuu huyo shega tulisoma nae pale iyunga darasa na wote tulikuwa tuna kaa bweni moja la amri abeid mwenye kufahsmu alipo anijuze. Alikuwa kilaza wa ngeli balaa nakumbuka siku moja aliambiwa atoe speech akashindwa kwa hiyo academic prefect wetu emanueli urasa akamwambia basi kwa kuwa huwezi hilo basi badilisha neno hili liwe kiingereza "kijana amepamba moto" shega akasema kijana ni ki yesterday, amepamba ni amecotom, moto ni fire, kumbe akaunganisha akasema. Kiyesterday amecoton fire. Nilicheka saana. Nimekumbuka mbali isee
 
Gwamaka Njobero wa pili kitaifa-Mzumbe 2009 olev na wanane adv Mzumbe 2012
Huyu dogo nampata sana alisoma na mdogo wangu pale mzumbe advance wanasema alikuwa matata sana aisee

Olevel kapiga I ya 7

Advance kapiga I ya 4 PCM akiwa na BAA
 
Back
Top Bottom