Tanzania ni ya sita kijeshi Afrika

Ukweli Mimi siwezi kujua ukweli kwakua hakuna vita ambayo ilitokea tukapambana ukiondoa Uganda ambayo. Kunawatu wanasema ingao. Tulishinda. Lakini. Vijanawetu. Wengiwalikufa. Nikweli jeshiretu. Niimala. Lakini. Yakwamba nila 6 kwaubora. Mtoa mada. Angesema. Vigezo. Gani. Alivyotumia
 
Ukweli Mimi siwezi kujua ukweli kwakua hakuna vita ambayo ilitokea tukapambana ukiondoa Uganda ambayo. Kunawatu wanasema ingao. Tulishinda. Lakini. Vijanawetu. Wengiwalikufa. Nikweli jeshiretu. Niimala. Lakini. Yakwamba nila 6 kwaubora. Mtoa mada. Angesema. Vigezo. Gani. Alivyotumia
Kwenye muhimu ni ushindi Ila kwenye vifo hata wakifa wanajeshi wawili ni hasara
 
Ukweli Mimi siwezi kujua ukweli kwakua hakuna vita ambayo ilitokea tukapambana ukiondoa Uganda ambayo. Kunawatu wanasema ingao. Tulishinda. Lakini. Vijanawetu. Wengiwalikufa. Nikweli jeshiretu. Niimala. Lakini. Yakwamba nila 6 kwaubora. Mtoa mada. Angesema. Vigezo. Gani. Alivyotumia
We jamaa unaandikaje aisee
 
Jeshi la tanzania ni moja ya majeshi imara kabisa barani Afrika.
Hii ni kwa sababu:-
1. Uzalendo wa wanajeshi wa tanzania
2. Mipango thabiti ya jeshi
3. Mfumo mzuri wa jeshi.

Huwa baada ya miaka miwili huwa kunafanyika gwaride la makomadoo wa afrika. Tanzania imekuwa ikishikilia nafasi ya pili na tatu kwa upande wa makomadoo.

Huenda wengine wakadhani nchi ya tanzania inaingilika kiulaini la hasha.

Ifuatayo ni jinsi majeshi yalivyo
1. Afrika ya kusini
2. Ethiopia
3. Libya
4. Misri
5. Ghana

na ya sita Tanzania.

Nchi ya Tanzania inafundisha majeshi mbalimbali Afrika
Kongo DRC, Uganda, Msumbiji vile vile nchi ya Kenya huwa inachukua mafunzo katika Jeshi la Tanzania.


Nchi ya tanzania mara nyingi hupata mafunzo ya kijeshi nje ya Afrika na sio Afrika maana tuko juu.
Nchi ya urusi na china ndio nchi ambazo mara nyingi tanzania hupata mafunzo

Naipenda TANZANIA
KTK TAARIFA ZOTE EPUKA SANA KUTOA TAARIFA ZA JESHI, HAWANAGA DOGO............utajikuta matatani muda si mreefu.
 
china na india, ****. hawa wachina walipigwa na wajapan kama kuku mpaka wakajenga ukuta wa kujilinda, hao wahindi wana kitu gani zaidi ya nyuklia? wamerekani tunawaona katika lethal operation duni
Unaleta story za 1920s, enzi za Japan expansionism......? sasa hivi Japan atachapwa mpaka aombe poo
 
Nafikiri jamaa kaitoa list hiyo hapa:



Hayo ni mawazo ya mtu mmoja na wala hayakuwa substantiated na data za kuaminika.

Kila wakati huwa nina wasi wasi kuwa Rwanda wanaweza kuwa na jeshi imara kuliko sisi. Waliweza kuwadhibiti Wazimbabwe huko Kongo wakati wa mzee Kabila, na wana vyuo vyao vya kijeshi ambavyo vinaendeshwa kwa nidhamu ya hali ya juu sana. Nadhani Rwanda ndiyo nchi pekee katika eneo la Afrika ya Mashariki na kati ambayo haijawahi kuleta maafisa wake kusomea Monduli kwa vile wnaona Monduli kama substandard.
Data zip unataumia... Rwanda Kuna maafisa kabao Wana train TMA.... Not orly Rwanda... Hata South Africa.. TMA ina historia nzur. Ni chuo kikongwe kwenye medani ya vita
 
KTK TAARIFA ZOTE EPUKA SANA KUTOA TAARIFA ZA JESHI, HAWANAGA DOGO............utajikuta matatani muda si mreefu.
Hahahahaha

Hivi yule nanihii alitoroka na taarifa za jeshi kwenye laptop alipatikana?

Nchi hii bogus kabisa.
 
Back
Top Bottom