Tanzania ni ya sita kijeshi Afrika

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,834
Jeshi la tanzania ni moja ya majeshi imara kabisa barani Afrika.
Hii ni kwa sababu:-
1. Uzalendo wa wanajeshi wa tanzania
2. Mipango thabiti ya jeshi
3. Mfumo mzuri wa jeshi.

Huwa baada ya miaka miwili huwa kunafanyika gwaride la makomadoo wa afrika. Tanzania imekuwa ikishikilia nafasi ya pili na tatu kwa upande wa makomadoo.

Huenda wengine wakadhani nchi ya tanzania inaingilika kiulaini la hasha.

Ifuatayo ni jinsi majeshi yalivyo
1. Afrika ya kusini
2. Ethiopia
3. Libya
4. Misri
5. Ghana

na ya sita Tanzania.

Nchi ya Tanzania inafundisha majeshi mbalimbali Afrika
Kongo DRC, Uganda, Msumbiji vile vile nchi ya Kenya huwa inachukua mafunzo katika Jeshi la Tanzania.


Nchi ya tanzania mara nyingi hupata mafunzo ya kijeshi nje ya Afrika na sio Afrika maana tuko juu.
Nchi ya urusi na china ndio nchi ambazo mara nyingi tanzania hupata mafunzo

Naipenda TANZANIA
 
lazima ujipe raha hata kama ungesema ni ya kwanza sawa tu!
Sio ya kwanza nimesema ya sita. Hii ni kweli majeshi mengine wanaijua Tanzania vizuri sana. Tafuta habari kutoka kwenye majeshi na utaijua TZ na sio kwenye google.
 
ni kweli mkulu, na hivi soon kuna wajamaaa wanaondoka kwenda china kwa training ya 1yr, ni ma capten ambao wengi wao wako airforce! MIMI NASUBIRIA INTAKE HII INAYOKUJA YA MAPROOO
 
Jeshi la tanzania ni moja ya majeshi imara kabisa barani Afrika.
Hii ni kwa sababu:-
1. Uzalendo wa wanajeshi wa tanzania
2. Mipango thabiti ya jeshi
3. Mfumo mzuri wa jeshi.

Huwa baada ya miaka miwili huwa kunafanyika gwaride la makomadoo wa afrika. Tanzania imekuwa ikishikilia nafasi ya pili na tatu kwa upande wa makomadoo.

Huenda wengine wakadhani nchi ya tanzania inaingilika kiulaini la hasha.

Ifuatayo ni jinsi majeshi yalivyo
1. Afrika ya kusini
2. Ethiopia
3. Libya
4. Misri
5. Ghana

na ya sita Tanzania.

Nchi ya Tanzania inafundisha majeshi mbalimbali Afrika
Kongo DRC, Uganda, Msumbiji vile vile nchi ya Kenya huwa inachukua mafunzo katika Jeshi la Tanzania.


Nchi ya tanzania mara nyingi hupata mafunzo ya kijeshi nje ya Afrika na sio Afrika maana tuko juu.
Nchi ya urusi na china ndio nchi ambazo mara nyingi tanzania hupata mafunzo

Naipenda TANZANIA
Jeshi lolote lisilo na vita ni bora hakuna pa kulipima uwezo na silaha zake.Litakapoingia katika vita na kugundua ya kua silaha na vifaa vingi za kivita zimeisha expire hapo ndio tutajua!Milipuko ya mabomu gongo la mboto na mbagala ni mfano.
 
Jeshi lolote lisilo na vita ni bora hakuna pa kulipima uwezo na silaha zake.Litakapoingia katika vita na kugundua ya kua silaha na vifaa vingi za kivita zimeisha expire hapo ndio tutajua!Milipuko ya mabomu gongo la mboto na mbagala ni mfano.
Tanzania inafanya operation nyingi sana duniani ikishirikiana na majeshi mangine duniana. Na riport zimekuwa zikija positive.
Marekani hawana vita, china hawana vita lakini majeshi yao ndio yenyenguvu dunian. Vilevile India haina vita lakini nikati ya 10 bora duniani. Umenipata?
 
Jeshi lolote lisilo na vita ni bora hakuna pa kulipima uwezo na silaha zake.Litakapoingia katika vita na kugundua ya kua silaha na vifaa vingi za kivita zimeisha expire hapo ndio tutajua!Milipuko ya mabomu gongo la mboto na mbagala ni mfano.

hakika wewe ni makengeza huoni wala husikii huwezi kuchukulia mirupuko ya g/mboto au mbagala ni kuchakaa vifaa hitilafu popote inaweza kutokea bulgeria na urusi na nchi kadhaa zilizoendelea yameshatokezea
 
Jeshi la tanzania ni moja ya majeshi imara kabisa barani Afrika.
Hii ni kwa sababu:-
1. Uzalendo wa wanajeshi wa tanzania
2. Mipango thabiti ya jeshi
3. Mfumo mzuri wa jeshi.

Huwa baada ya miaka miwili huwa kunafanyika gwaride la makomadoo wa afrika. Tanzania imekuwa ikishikilia nafasi ya pili na tatu kwa upande wa makomadoo.

Huenda wengine wakadhani nchi ya tanzania inaingilika kiulaini la hasha.

Ifuatayo ni jinsi majeshi yalivyo
1. Afrika ya kusini
2. Ethiopia
3. Libya
4. Misri
5. Ghana

na ya sita Tanzania.

Nchi ya Tanzania inafundisha majeshi mbalimbali Afrika
Kongo DRC, Uganda, Msumbiji vile vile nchi ya Kenya huwa inachukua mafunzo katika Jeshi la Tanzania.


Nchi ya tanzania mara nyingi hupata mafunzo ya kijeshi nje ya Afrika na sio Afrika maana tuko juu.
Nchi ya urusi na china ndio nchi ambazo mara nyingi tanzania hupata mafunzo

Naipenda TANZANIA

RUbbish
 
Back
Top Bottom