Yuko wapi,acha kudanganya umma HATUNA RAIS Tanzania
sasa kila kitu afanye Rais kwa hiyo angekuwepo angezuia mafuriko au amgetoa agizo lifungwe turubai dar yote mvua isinyeshe kuna mtu ajui kama hiki ni kipindi cha masika?
Acha kupotosha watu, asingekuwepo rais nchi hii ingekalika? Uliza Somalia ndio itaelewa kama hapa tuna rais au lah. Watu mnafanya mzaha tu, ngoja itokee vita ndio mtaheshimu uwepo wa mfumo wa kiutawala
Kwahiyo Rais ndio anayeleta amani na kuepusha vita?
Dar es salaam saiv ni ziwa na watu wake wamegeuka masamaki na wengine kufa lakini Anaejiita RAIS yupo MAREKANI haya sio majanga kweli