Tanzania ni nchi huru, a Sovereign State, Mahakama zetu ni huru? Hizi ndizo hukumu zetu za haki, who the hell is Marekani kutuingilia? Je, tukubali?

Na ni kwasababu weshatujua kuwa sisi wenyewe hatuzipendi nchi zetu na hatuna muelekeo wowote wakutaka kujitawala kifikra na nyanja zote Kama mataifa huru.(mind Colonization).

Trump aliwahi kusema kuwa Africa haitakiwi kujitawala inabidi itawaliwe tena.
Hii kauli tuliichukulia simple bila kuijaji mara mbili mbili kwanini aseme hivi, na huko kututawala tena watatutawala kwa njia gani?? Kama unadhani alimaanisha watakuja tena kututawala Kama mwanzo basi utakuwa umepotea, tumejusahau tunadhani new colonial project imekwisha.??

Kila siku tumekuwa the home of new ideas kutoka nje ambazo hatuhusishi kuzijadili Kama zina faida kwetu ama lah, lakini tunalazimishwa kuzikubali tu. Viongozi wetu wanalazimishwa tu kuzikubali na wachache wanao kataa ndio hawa wanao itwa kila jina baya.

Prof Lumumba aliwahi kusema "Kuna njia tatu za kuwa kwenye dinner table, unaweza kuwepo Kama mhudumu, dinner or food to be eaten, now Africa has been at the dinner table as food for too long."

Hatuwezi kuupinga huu ukweli, vingozi wetu walio wangi wanapokuwa kwenye mikutano ya kimataifa kwenye mambo ya maana yanapojadiliwa vingozi wetu wengi wanaenda tu kwa kupiga picha tu. Wachache wanao jaribu kuwa serious na nchi zao ndio hao wanaoitwa madikteta na sisi wenyewe tulivo wajinga tunawaunga mkono maadui zetu kwa sababu zisizo na tija yoyote.
Tunayahitaji sana maendeleo lakini si u dictator wa kupotezana na wasiojulikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pascal Mayalla, hutaeleweka hapa, kuna watu wameamua kuwa watumwa kwa ajiri ya tamaa na chuki zao hivyo wako tayari hata kuvunja miiko ya maisha na tabia zao kwa kutaka uongozi, nadhani hata maisha yao wangetamani wapangiwe na mzungu muda wa kuishi na kufa, iko siku watakapo ombwa kisichoombwa ndo watajua kumbe si sawa ila muda utakuwa umewaacha. Ajitokeze mtu akkujibu kuwa ni nchi gani ilishaenda kuhoji mahakma za marekani kisha tujadili, kwani wao ni miungu hawakosei?
Acha ujinga wewe zombie, hivi unataka kutulazimisha tukubali kwamba mahakama zetu ziko huru ??!!, hata jaji mkuu anajua kwamba mahakama anayoiongoza haiku huru, hata watoto wadogo hawawezi kusadiki uzandiki huo, hao wazungu wanataka kutufundisha namna bora zaidi ya kujiendesha wenyewe, tukifanya vema nani atatufatafata ??, jifunzeni kutoka kwa jirani zetu Kenya
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa kuzungumzia Maslahi kwa Taifa, huwa nazungumza. Watanzania wenzangu, tuwe watu wa shukrani kwa yote, kukifanyika mazuri tushukuru, na hata kwa mabaya tushukuru, huwezi jua, hii hukumu ya kina Mbowe japo imegeuzwa ni mtaji, lakini tushukuru. What is TZS 350m compared to liberty? Tena usikute hukumu hii ikageuka a blessing in disguise kwa kuwaunganisha wapinzani wote wa kweli against a common enemy na kuunda a strong united front for the first time Tanzania tukapata a strong credible na serious opposition ambayo inaweza kuwa mbadala wa CCM.

Hata kama kina Mbowe hawakuhukumiwa kwa haki, lakini watakuwa huru na hizi ndizo haki zetu. Haki za kweli zinatolewa na karma pekee! Kwavile Aquiline aliuwawa na risasi moja, na kwenye kundi la wale polisi 6 waliofyatua risasi za moto, na wote kukamatwa na kuachiwa baada ya kujengwa hoja kuwa hiyo risasi iliyomuua Aquiline haikulengwa kwake, bali ilifyatuliwa juu ikaenda juu angani, kisha ikapinda kona, ikashuka chini, ikaingia kwenye daladala ikamchagua Aquiline na kumuingia!.

Polisi aliyeifyatua by now, atakuwa ameishashughulikiwa na karma, na haya ndio maajabu ya mfumo wetu wa utoaji haki. Mtu anauwawa kwa risasi, askari sita wenye silaha waliofyatua risasi wameachiwa, huku kina Mbowe waliokuwa wakiandamana mikono mitupu ndio wanakamatwa, wanaswekwa mahabusu, wanashitakiwa, wanakutwa na hatia na kuhukumiwa!. Kama wamehukumiwa kwa kuonewa, karma itamshughulikia muonevu na kuwafidia waonewa, tushukuru Mungu kwa yote.

Bandiko hili ni bandiko la swali, kuwa Tanzania ni nchi huru, a sovereign state, mahakama zetu ni zinapaswa kuwa huru, independent bila kuingiliwa. Hii kukumu ya kesi ya kina Mbowe, ni moja tuu ya hukumu nyingi za mahakama zetu, na hukumu hizi ndizo hukumu zetu za haki zetu kwa viwango vyetu vya mahakama zetu, sasa hawa Wamerekani ni nani hadi watuingilie mambo yetu ya ndani?. Who the hell are they kutuingilia?. Je, Tanzania tukubali kuingiliwa ingiliwa tuu hadi uhuru wa mahakama zetu kuingiliwa? Tukikubali kuingiliwa ingiliwa hivi si watakuja kutuingilia hadi kinyume cha ...na hata kututia vidole....machoni.

Nimesoma mahali kuwa Marekani imetuingilia kwa kuingilia uhuru wa mahakama zetu katika kutoa haki kama anavyoeleza mwana JF huyu.

Mkuu Infomer, kwanza asante kutu inform kama jina lako lilivyo, kutuletea kile kunachoendelea duniani kwenye baadhi ya mitandao kama Twita, maana sio Watanzania wengi wanatajua haya mambo ya Twita na ku Twiti.

Tanzania ni ni nchi huru, a sovereign state, hiki kinachofanywa na Marekani, huku sio ni kuingilia mambo yetu ya ndani na kuingilia uhuru wa mahakama zetu?

No one anaruhusiwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, hata Marekani haipaswi kutuingilia!, au wenzetu mnaona raha kuingiliwa?.

Mimi ni story teller, hivyo kwa wapenda short and clear ishieni hapa, wale ma story tuendelee

Kama Wamerekani wametuingilia kisiasa, tukanyamaza, wakatuingilia kijamii, tumewapigia magoti, sasa wanaingilia Mhimili wa mahakama. Tunyamaze?. Tukiendelea kunyamaza hivi si hawa Wamarekani watatungilia kila sehemu inayoingilika hadi hata kutuingilia kinyume cha...kwa sehemu zisizo ingilika kama kuingilia mambo yetu ya ndani kwa kutuingilia katiba yetu, sheria zetu, taratibu zetu, na kanuni zetu tulizojiwekea? Si wanaweza kutuingilia hadi kumtoa mtu wetu na kutuwekea mtu wao?

Wajameni kama ilivyo demokrasia yetu, zilivyo siasa zetu, human rights records zetu, hukumu hii ndio mahakama zetu, hizi ndizo hukumu zetu na kwa upande wa haki, hizo ndizo haki zetu na huu ndio utoaji haki wetu nchini Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatano njema
P

Pascal,
Umetumia neno "sovereignty" (na mara nyingi unalitumia kimakosa) bila kutoa tafsiri yake kulingana na muktadha wa mada yako.

Kwa mujibu wa sheria za kimataifa, "sovereignty" ni mamlaka ya serikali kutunga sheria zitakazotumika katika nchi ambayo iko katika mamlaka ya hiyo serikali. Hapa unapaswa kuzingatia kuwa, katika huu mukhtada, "sovereignty" haitoi kinga kwa serikali kulaumiwa na mataifa mengine inapokiuka haki za raia za kisiasa au kwa mahakama inapotoa tafsiri za sheria zenye utata ambazo kimsingi zinakiuka haki za binadamu au/na haki raia za kisiasa. Katika mazingira haya, mtu yeyote na mamlaka yoyote wana haki ya kupaza sauti na kulaani huo ukiukaji. Na hiki ndicho Marekani ilichofanya; na ndicho pia ulichofanunua mwanzo wa bandiko lako.

Lakini pia kuna kitu kinchoitwa international criminal justice standards. Hii inatokana na mikataba na itifaki mbali mbali za kimataifa kuhusu haki za binadamu; haki za kijamii na za kisiasa; nk, ambazo mataifa mbali mbali (ikiwemo Tanzania) yameridhia. Hivyo, inapotokea serikali ya nchi yeyote kushindwa kutekeleza matakwa ya hii mikataba na itifaki ni lazima itanyooshewa kidole na mataifa mengine.

Na kisiasa, "sovereignty" ni mamlaka kuu ya nchi ambayo ni shurti yatoke kwa wananchi na yasimamiwe na chombo chao cha uwakilishi (bunge). Sasa je, bunge letu kweli, kiutendaji, ni "sovereign"? Au kwa maneno mengine, hili bunge linasimamiia "sovereignty" yetu sisi wananchi? Kama sivyo, hupaswi kutoa rejea ya sisi kuwa "sovereign state" katika mukhtadha wa kisiasa wa "sovereignty".

Naona hiki kitu ulichorejea kimakosa kama "sovereign state" umekigeuza kuwa "sacred cow".
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa kuzungumzia Maslahi kwa Taifa, huwa nazungumza. Watanzania wenzangu, tuwe watu wa shukrani kwa yote, kukifanyika mazuri tushukuru, na hata kwa mabaya tushukuru, huwezi jua, hii hukumu ya kina Mbowe japo imegeuzwa ni mtaji, lakini tushukuru. What is TZS 350m compared to liberty? Tena usikute hukumu hii ikageuka a blessing in disguise kwa kuwaunganisha wapinzani wote wa kweli against a common enemy na kuunda a strong united front for the first time Tanzania tukapata a strong credible na serious opposition ambayo inaweza kuwa mbadala wa CCM.

Hata kama kina Mbowe hawakuhukumiwa kwa haki, lakini watakuwa huru na hizi ndizo haki zetu. Haki za kweli zinatolewa na karma pekee! Kwavile Aquiline aliuwawa na risasi moja, na kwenye kundi la wale polisi 6 waliofyatua risasi za moto, na wote kukamatwa na kuachiwa baada ya kujengwa hoja kuwa hiyo risasi iliyomuua Aquiline haikulengwa kwake, bali ilifyatuliwa juu ikaenda juu angani, kisha ikapinda kona, ikashuka chini, ikaingia kwenye daladala ikamchagua Aquiline na kumuingia!.

Polisi aliyeifyatua by now, atakuwa ameishashughulikiwa na karma, na haya ndio maajabu ya mfumo wetu wa utoaji haki. Mtu anauwawa kwa risasi, askari sita wenye silaha waliofyatua risasi wameachiwa, huku kina Mbowe waliokuwa wakiandamana mikono mitupu ndio wanakamatwa, wanaswekwa mahabusu, wanashitakiwa, wanakutwa na hatia na kuhukumiwa!. Kama wamehukumiwa kwa kuonewa, karma itamshughulikia muonevu na kuwafidia waonewa, tushukuru Mungu kwa yote.

Bandiko hili ni bandiko la swali, kuwa Tanzania ni nchi huru, a sovereign state, mahakama zetu ni zinapaswa kuwa huru, independent bila kuingiliwa. Hii kukumu ya kesi ya kina Mbowe, ni moja tuu ya hukumu nyingi za mahakama zetu, na hukumu hizi ndizo hukumu zetu za haki zetu kwa viwango vyetu vya mahakama zetu, sasa hawa Wamerekani ni nani hadi watuingilie mambo yetu ya ndani?. Who the hell are they kutuingilia?. Je, Tanzania tukubali kuingiliwa ingiliwa tuu hadi uhuru wa mahakama zetu kuingiliwa? Tukikubali kuingiliwa ingiliwa hivi si watakuja kutuingilia hadi kinyume cha ...na hata kututia vidole....machoni.

Nimesoma mahali kuwa Marekani imetuingilia kwa kuingilia uhuru wa mahakama zetu katika kutoa haki kama anavyoeleza mwana JF huyu.

Mkuu Infomer, kwanza asante kutu inform kama jina lako lilivyo, kutuletea kile kunachoendelea duniani kwenye baadhi ya mitandao kama Twita, maana sio Watanzania wengi wanatajua haya mambo ya Twita na ku Twiti.

Tanzania ni ni nchi huru, a sovereign state, hiki kinachofanywa na Marekani, huku sio ni kuingilia mambo yetu ya ndani na kuingilia uhuru wa mahakama zetu?

No one anaruhusiwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, hata Marekani haipaswi kutuingilia!, au wenzetu mnaona raha kuingiliwa?.

Mimi ni story teller, hivyo kwa wapenda short and clear ishieni hapa, wale ma story tuendelee

Kama Wamerekani wametuingilia kisiasa, tukanyamaza, wakatuingilia kijamii, tumewapigia magoti, sasa wanaingilia Mhimili wa mahakama. Tunyamaze?. Tukiendelea kunyamaza hivi si hawa Wamarekani watatungilia kila sehemu inayoingilika hadi hata kutuingilia kinyume cha...kwa sehemu zisizo ingilika kama kuingilia mambo yetu ya ndani kwa kutuingilia katiba yetu, sheria zetu, taratibu zetu, na kanuni zetu tulizojiwekea? Si wanaweza kutuingilia hadi kumtoa mtu wetu na kutuwekea mtu wao?

Wajameni kama ilivyo demokrasia yetu, zilivyo siasa zetu, human rights records zetu, hukumu hii ndio mahakama zetu, hizi ndizo hukumu zetu na kwa upande wa haki, hizo ndizo haki zetu na huu ndio utoaji haki wetu nchini Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatano njema
P


Mbona nyinyi Tanganyika mnaingilia mambo ya Zanzibar ?? Na kuuwa watu , kunajisi, kuiba na kuwafunga

Mkuki ni kwa nguruwe tu ??
 
Mkuu marekani kutupa misaada sio sababu ya kutufanya sisi tukubali kila wakitakacho na kutuamulia mambo yetu kama nchi huru.
Hiyo misaada wanayo tupa inalingana na thamani za rasilimali walizotuibia tangu enzi za ukoloni??
Huu umasikini tulio nao wao si ndio chanzo kwa wizi walioufanya Africa??

Wamechimba madini yetu kwa karibu nusu karne sasa, zimewatajilisha sisi wametuachia mashimo, alafu bado unataka tulambe miguu kisa wanatuletea ARV??
Tunatofauti gani sasa na wale wazee wetu walio letewa mikate,shanga, miamvuli na nguo, huku wao wakiwakusanyia dhahabu na kuwapa??
If America is what it's, it's because of Africa.

So, Africa hatupaswi kushangilia hio misaada na hatukatai kuipokea pia kwasababu hiyo ni mali yetu wenyewe waliyo tuibia.

Hatuwezi kuwaona wema heti kisa misaada.
Uhuru unaouongelea ni kuwageka watu wako kupitia wasiojulikana ?!. Na kama ni uwizi wa rasilimali zetu, ni nani walioingia mikataba ya kishenzi ?! Si ni hawa mnaowaona mashujaa na bado wapo hai. Na mbaya zaidi wanatuamulia nani wa kutuongoza. Hapo utaepukaje kutawaliwa na so called wafadhili ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo account ya Twitter inaendeshwa na mwehu!

Kuna tweet ina siku tano ikiituhumu ICC kutumika kisiasa kisa tu imeamua kumchunguza raia wa Marekani kuhusika na uharifu wa kivita Afghanistan!
 
Marekani wachawi tu. Wao mbona ilivogundulika Russia wameingilia uchaguzi wao walikuwa mbogo mixer kuwawekea vikwazo, kuna ofisi ya kidplomasia ya warusi ilikuwa Florida ikafungwa na ma afisa wake wakatimuliwa, Trump akasumbuliwa hadi leo ikaundwa tume ya Moeller kufuatilia nk.. Hii yote ni kuonyesha kuwa hawapendi kuingiliwa katika mambo yao so how comes wao wanakuwa wepesi kuweka pua zao kwenye mambo ya wenzao! Mashoga wakubwa
 
Mabeberu ndiyo wanahubiri separation of power.
Waliokuwa watuhumiwa, wamekutwa na hatia kwa sheria zetu; kwa kuwa ni mahakama ya hakimu mkazi; basi ubalozi wao utuo donation ya kulipia rufaa mahakama kuu ili haki ya hao ambao Marekani wanadhani imechukuliwa, itatolewa na mahakama kuu.

Vinginevyo napata maswali magumu kwanini mpaka leo Marekani hawajamwekea vikwazo vya kutokanyaga Marekani mwana wa mfalme wa Saudia Prince Mohamed Bin Salaman kwa kifo cha Jamal Khashoggi.

Kwa kufeli kutenda haki mahali ambapo ilidhulumiwa, wanakosa uhalali kutoa kibanzi kwenye jicho letu wakati boriti kubwa liko jichoni kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa kuzungumzia Maslahi kwa Taifa, huwa nazungumza. Watanzania wenzangu, tuwe watu wa shukrani kwa yote, kukifanyika mazuri tushukuru, na hata kwa mabaya tushukuru, huwezi jua, hii hukumu ya kina Mbowe japo imegeuzwa ni mtaji, lakini tushukuru. What is TZS 350m compared to liberty? Tena usikute hukumu hii ikageuka a blessing in disguise kwa kuwaunganisha wapinzani wote wa kweli against a common enemy na kuunda a strong united front for the first time Tanzania tukapata a strong credible na serious opposition ambayo inaweza kuwa mbadala wa CCM.

Hata kama kina Mbowe hawakuhukumiwa kwa haki, lakini watakuwa huru na hizi ndizo haki zetu. Haki za kweli zinatolewa na karma pekee! Kwavile Aquiline aliuwawa na risasi moja, na kwenye kundi la wale polisi 6 waliofyatua risasi za moto, na wote kukamatwa na kuachiwa baada ya kujengwa hoja kuwa hiyo risasi iliyomuua Aquiline haikulengwa kwake, bali ilifyatuliwa juu ikaenda juu angani, kisha ikapinda kona, ikashuka chini, ikaingia kwenye daladala ikamchagua Aquiline na kumuingia!.

Polisi aliyeifyatua by now, atakuwa ameishashughulikiwa na karma, na haya ndio maajabu ya mfumo wetu wa utoaji haki. Mtu anauwawa kwa risasi, askari sita wenye silaha waliofyatua risasi wameachiwa, huku kina Mbowe waliokuwa wakiandamana mikono mitupu ndio wanakamatwa, wanaswekwa mahabusu, wanashitakiwa, wanakutwa na hatia na kuhukumiwa!. Kama wamehukumiwa kwa kuonewa, karma itamshughulikia muonevu na kuwafidia waonewa, tushukuru Mungu kwa yote.

Bandiko hili ni bandiko la swali, kuwa Tanzania ni nchi huru, a sovereign state, mahakama zetu ni zinapaswa kuwa huru, independent bila kuingiliwa. Hii kukumu ya kesi ya kina Mbowe, ni moja tuu ya hukumu nyingi za mahakama zetu, na hukumu hizi ndizo hukumu zetu za haki zetu kwa viwango vyetu vya mahakama zetu, sasa hawa Wamerekani ni nani hadi watuingilie mambo yetu ya ndani?. Who the hell are they kutuingilia?. Je, Tanzania tukubali kuingiliwa ingiliwa tuu hadi uhuru wa mahakama zetu kuingiliwa? Tukikubali kuingiliwa ingiliwa hivi si watakuja kutuingilia hadi kinyume cha ...na hata kututia vidole....machoni.

Nimesoma mahali kuwa Marekani imetuingilia kwa kuingilia uhuru wa mahakama zetu katika kutoa haki kama anavyoeleza mwana JF huyu.

Mkuu Infomer, kwanza asante kutu inform kama jina lako lilivyo, kutuletea kile kunachoendelea duniani kwenye baadhi ya mitandao kama Twita, maana sio Watanzania wengi wanatajua haya mambo ya Twita na ku Twiti.

Tanzania ni ni nchi huru, a sovereign state, hiki kinachofanywa na Marekani, huku sio ni kuingilia mambo yetu ya ndani na kuingilia uhuru wa mahakama zetu?

No one anaruhusiwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, hata Marekani haipaswi kutuingilia!, au wenzetu mnaona raha kuingiliwa?.

Mimi ni story teller, hivyo kwa wapenda short and clear ishieni hapa, wale ma story tuendelee

Kama Wamerekani wametuingilia kisiasa, tukanyamaza, wakatuingilia kijamii, tumewapigia magoti, sasa wanaingilia Mhimili wa mahakama. Tunyamaze?. Tukiendelea kunyamaza hivi si hawa Wamarekani watatungilia kila sehemu inayoingilika hadi hata kutuingilia kinyume cha...kwa sehemu zisizo ingilika kama kuingilia mambo yetu ya ndani kwa kutuingilia katiba yetu, sheria zetu, taratibu zetu, na kanuni zetu tulizojiwekea? Si wanaweza kutuingilia hadi kumtoa mtu wetu na kutuwekea mtu wao?

Wajameni kama ilivyo demokrasia yetu, zilivyo siasa zetu, human rights records zetu, hukumu hii ndio mahakama zetu, hizi ndizo hukumu zetu na kwa upande wa haki, hizo ndizo haki zetu na huu ndio utoaji haki wetu nchini Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatano njema
P
Jamani kabla hamjaanza kumshambulia P kama nyuki pitieni kwanza mkataba unaoitwa Montevideo convetion on statehood, article moja baada ya moja mpaka mwisho. Tanzania ni dola huru na haipaswi kuingiliwa na nchi yoyote.Isipokuwa kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu(na hapo kuna utaratibu ) kwa kutumia vyombo husika vya UN.Dola iliona wanamakosa ,ikawakamata ,ikawapeleka mahakamani na wakahukumiwa.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa kuzungumzia Maslahi kwa Taifa, huwa nazungumza. Watanzania wenzangu, tuwe watu wa shukrani kwa yote, kukifanyika mazuri tushukuru, na hata kwa mabaya tushukuru, huwezi jua, hii hukumu ya kina Mbowe japo imegeuzwa ni mtaji, lakini tushukuru. What is TZS 350m compared to liberty? Tena usikute hukumu hii ikageuka a blessing in disguise kwa kuwaunganisha wapinzani wote wa kweli against a common enemy na kuunda a strong united front for the first time Tanzania tukapata a strong credible na serious opposition ambayo inaweza kuwa mbadala wa CCM.

Hata kama kina Mbowe hawakuhukumiwa kwa haki, lakini watakuwa huru na hizi ndizo haki zetu. Haki za kweli zinatolewa na karma pekee! Kwavile Aquiline aliuwawa na risasi moja, na kwenye kundi la wale polisi 6 waliofyatua risasi za moto, na wote kukamatwa na kuachiwa baada ya kujengwa hoja kuwa hiyo risasi iliyomuua Aquiline haikulengwa kwake, bali ilifyatuliwa juu ikaenda juu angani, kisha ikapinda kona, ikashuka chini, ikaingia kwenye daladala ikamchagua Aquiline na kumuingia!.

Polisi aliyeifyatua by now, atakuwa ameishashughulikiwa na karma, na haya ndio maajabu ya mfumo wetu wa utoaji haki. Mtu anauwawa kwa risasi, askari sita wenye silaha waliofyatua risasi wameachiwa, huku kina Mbowe waliokuwa wakiandamana mikono mitupu ndio wanakamatwa, wanaswekwa mahabusu, wanashitakiwa, wanakutwa na hatia na kuhukumiwa!. Kama wamehukumiwa kwa kuonewa, karma itamshughulikia muonevu na kuwafidia waonewa, tushukuru Mungu kwa yote.

Bandiko hili ni bandiko la swali, kuwa Tanzania ni nchi huru, a sovereign state, mahakama zetu ni zinapaswa kuwa huru, independent bila kuingiliwa. Hii kukumu ya kesi ya kina Mbowe, ni moja tuu ya hukumu nyingi za mahakama zetu, na hukumu hizi ndizo hukumu zetu za haki zetu kwa viwango vyetu vya mahakama zetu, sasa hawa Wamerekani ni nani hadi watuingilie mambo yetu ya ndani?. Who the hell are they kutuingilia?. Je, Tanzania tukubali kuingiliwa ingiliwa tuu hadi uhuru wa mahakama zetu kuingiliwa? Tukikubali kuingiliwa ingiliwa hivi si watakuja kutuingilia hadi kinyume cha ...na hata kututia vidole....machoni.

Nimesoma mahali kuwa Marekani imetuingilia kwa kuingilia uhuru wa mahakama zetu katika kutoa haki kama anavyoeleza mwana JF huyu.

Mkuu Infomer, kwanza asante kutu inform kama jina lako lilivyo, kutuletea kile kunachoendelea duniani kwenye baadhi ya mitandao kama Twita, maana sio Watanzania wengi wanatajua haya mambo ya Twita na ku Twiti.

Tanzania ni ni nchi huru, a sovereign state, hiki kinachofanywa na Marekani, huku sio ni kuingilia mambo yetu ya ndani na kuingilia uhuru wa mahakama zetu?

No one anaruhusiwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, hata Marekani haipaswi kutuingilia!, au wenzetu mnaona raha kuingiliwa?.

Mimi ni story teller, hivyo kwa wapenda short and clear ishieni hapa, wale ma story tuendelee

Kama Wamerekani wametuingilia kisiasa, tukanyamaza, wakatuingilia kijamii, tumewapigia magoti, sasa wanaingilia Mhimili wa mahakama. Tunyamaze?. Tukiendelea kunyamaza hivi si hawa Wamarekani watatungilia kila sehemu inayoingilika hadi hata kutuingilia kinyume cha...kwa sehemu zisizo ingilika kama kuingilia mambo yetu ya ndani kwa kutuingilia katiba yetu, sheria zetu, taratibu zetu, na kanuni zetu tulizojiwekea? Si wanaweza kutuingilia hadi kumtoa mtu wetu na kutuwekea mtu wao?

Wajameni kama ilivyo demokrasia yetu, zilivyo siasa zetu, human rights records zetu, hukumu hii ndio mahakama zetu, hizi ndizo hukumu zetu na kwa upande wa haki, hizo ndizo haki zetu na huu ndio utoaji haki wetu nchini Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatano njema
P

"Hata kama kina Mbowe hawakuhukumiwa kwa haki, lakini watakuwa huru na hizi ndizo haki zetu " Naona hapa unajichanganya. Yaani wenyewe wasingetakiwa hata kuwa na kesi kabisa. Kitendo cha kushitakiwa pekee ni unyanyasaji na unavyosema. Inaelekea P maana yako ya uhuru ni pale tu ambako katiba inavyosema, yaani katiba kama imesema mahakama ni huru na wewe unajiaminisha hivyo bila kujali vitendo vya mahakama. Mahakama za Tanzania haziko huru kwenye siasa na sio mimi tu hata mashirika ya haki na balozi zinajua hivyo. Hakuna standard mbili za haki binadamu wote ni sawa na tusijaribu kutetea kila kitu kwani kufanya hivyo husaidii nchi yetu.
 
Pascal Mayala huna lolote mnafiki mkubwa wewe, mbona huzungumzii mauchafu anayoyafanya Yohana na Paulo. Wameua, wamefunga watu wasio na hatia, wamewafilisi watu, wamewafunga wapinzani baada ya kuzidiwa hoja na kama haitoshi wamenunua wabunge na madiwani. Je, hayo huyaoni?

Kila mwenye akili timamu anajua kuwa sasa hivi mahakama zetu zinafanya kazi kwa kupokea maagizo kutoka kwa Yohana na siyo kutoka kwenye katiba!

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi sijisumbui kusoma thread zake. Kwani kaandika upupu gani tena?
 
Mabeberu ndiyo wanahubiri separation of power.
Waliokuwa watuhumiwa, wamekutwa na hatia kwa sheria zetu; kwa kuwa ni mahakama ya hakimu mkazi; basi ubalozi wao utuo donation ya kulipia rufaa mahakama kuu ili haki ya hao ambao Marekani wanadhani imechukuliwa, itatolewa na mahakama kuu.

Vinginevyo napata maswali magumu kwanini mpaka leo Marekani hawajamwekea vikwazo vya kutokanyaga Marekani mwana wa mfalme wa Saudia Prince Mohamed Bin Salaman kwa kifo cha Jamal Khashoggi.

Kwa kufeli kutenda haki mahali ambapo ilidhulumiwa, wanakosa uhalali kutoa kibanzi kwenye jicho letu wakati boriti kubwa liko jichoni kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
"Mabeberu " mnawaita mabeberu tu pale wanapopinga unyanyasaji lakini wakitoa msaada au mkopo hao hao mnawaita wadau wa maendeleo. Mabeberu kwenu ni nchi yeyote hasa wazungu ambao hawaungi mkono unyanyasaji. Yaani mpaka Watanzania wenzetu wanapigwa risasi tunalaumu mabeberu
 
Tushukuru Mungu Tanzania haina visima vya mafuta. Tungekuwana na Mafuta USA wangeshatuma jeshi fasta badala ya kutuma tweet. USA anaangalia pesa tu, demokrasia ni geresha.

Mungu aliepushie taifa letu majanga.
Kama wanaangalia pesa je ni kwanini wanatulaumu kwa hili na unyanyaji? Mtasema hata mkopo wa shule $500M walikuwa wanaangalia pesa wakati wenyewe ndiyo watoaji. Maona mneishiwa hoja na kuanza sasa kuzungumza pumba na kujifurahisha. Kama navyosema vijana wa hivi kama nyie ni wabaya kuliko hata wale polisi wanaopiga upinzani kwasababu nyie mjidanganya kinafsi kwasabau zenu binafsi iwe kabila au chuki.
 
Mkuu hebu kawaulize Zimbabwe, mkuu hii dunia ina order,ni sayansi rahisi kuwa mwenye nguvu ndio kiongozi. Tucheze kwa step hatuna absolute power ya kufanya kila kitu hasa ikionekana upande flani unaonewa.asikiaye na afahamu
 
Back
Top Bottom