Tanzania na elimu ya kinafiki

dubwela

Member
Oct 23, 2012
28
2
Awali yayote niwapongeze wale ambao wamebahatika kufanya vizuri ktk mtihani wa kidato cha nne 2012 na kuwapa pole wote wasiofanya vizuri. Tunaposema elimu yetu ya kinafiki kihist6ria toka Nyerere ilikuwa ya magumashi kitabaka, itikadi na mengine mfano wanafunzi wa elimu ya juu walikuwa wachache sana wanaofika 13 miaka ya 1960s na ndio maana UPE ikabuniwa. Watanzania wengi hatufikirii mara mbili mbili mfano wa chaguzi zetu wanashinda huku wananchi wengi wanalalamika au ndio wizi mtupu? Wakati wa mgomo wa walimu watanzania wengi hawakufahamu umuhimu wa mgomo kwani hawakuunga mkono walimu baadala yake walilalamika sana watoto wev wanakosa haki ya msingi kwa watoto wao kuandamana barabarani wakitaka walimu walipwe mishahara na posho wakaiunga mk6 serikali amcyo ni ya kicgna iliyoamua kwenda mahakamani na mahakama kufuata mb4zo ya L wakawarudisha walimu bila kufikiria ya kwamba mahakama haina uwezo wakufundisha sasa matokeo ndio hayo na tetesi zipo watakwenda mahakamani tena ila ni mpaka kieleweke
 
Back
Top Bottom