blackeye
JF-Expert Member
- Mar 28, 2016
- 300
- 95
Mkuu,
Labda developed world....bongo sijui.....! Mimi nimeshabadilisha ajira kama mara tatu hivi tangia ni graduate, lakini hakuna hapa Employer mmoja aliye nikabidhi msahafu huu....nafikiri kwa sababu waajiri wengi hawapendi kufuata hizi sheria za kazi so sitashangaa kuona hawawapi copy waajiriwa wao!
Kubadilisha aijira mara tatu imetosha sasa ujiajili