makronu306
New Member
- Jan 16, 2019
- 4
- 4
Hallo wapendwa naombeni msaada namna ya ku culculate kiinua mgongo, mimi nipo kampuni binafsi kwa miaka 8 sasa, hii 2024 nmeanza wa tisa
1. Calculations ya kiinua mgongo
2. Je ukiacha kazi mwenyewe una haki ya kupata kiinua mgongo?
3.Kabla ya kuacha kazi mwenyewe kabla ya mkataba kuisha nini cha kuzingatia
Asantenii!!
1. Calculations ya kiinua mgongo
2. Je ukiacha kazi mwenyewe una haki ya kupata kiinua mgongo?
3.Kabla ya kuacha kazi mwenyewe kabla ya mkataba kuisha nini cha kuzingatia
Asantenii!!