SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,928
- 2,006
Ningefurah kama huu mpango ungekuwa Sasa watz tunatengeneza magari yetu NYUMBU baada ya vijana wa veta na chuo kikuu kuzalisha waataalamu,Lumumba achen kushabikia vitu kisiasa wakati hapo Toyota watakuja na RAIA wao ,cha kuomba Toyota iwape elimu watz ya kutengeneza magari