Tanzania kujenga kiwanda cha kuunda magari ya Toyota

MAGAMBA MATATU

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
646
1,174
Waziri wa Viwanda wa Tanzania amekutana na CEO wa Toyota nchini Japan.

Wameongea masuala ya uwekezaji wa viwanda mojawapo ni kujenga kiwanda cha kuunda magari ya Toyota under license, tayari Wizara ya Viwanda imetenga eneo hilo la uwekezaji wa kiwanda ambapo CEO wa Toyota Japan kasema wataanza ujenzi wa hicho kiwanda mwanzoni mwa mwaka 2017 baada ya kufanya upembuzi yakinifu ya eneo la ujenzi na kusema wataanza na kuunda magari ya CC under 2000 ambapo soko kuu la uuzaji magari ya nchi za east Africa and Central Africa 25 % yatatokea Tanzania.

Pia CEO wa Toyota Japan ameahidi kujenga sambamba kiwanda cha kutengeneza spea za magari ya aina zote ya Toyota hapo hapo kitakapojengwa hicho kiwanda.
 
Raisi Magufuli hii sasa ni sifa, embu punguza kidogo, utaua watu kwa vihoro, pole pole waache kwanza wadigest habari za Bomba la mafuta na ajira 10, 000 ulizotuletea, nimesikia hata makubaliano ya SGR tayari, Duh hii ni kasi ya kimondo!
Hapana mkuu, kimondo ipo slow, hii ni supersonic speed,
Mzee wangu Magu ana misifa sana ujue..
Na hapa nimeanza kuelewa kwa nini Kuna nchi zunarekebisha katiba ili viongozi wao wagombee awamu zingine..

Naipenda nchi yangu Tanzania
 
Kama habari hii ni kweli basi itakuwa ni habari njema. Lakini mtoa mada hujaeleza chanzo cha habari yako ni kipi
 
Waziri wa viwanda wa Tz amekutana na CEO wa Toyota nchini Japan,
Wameongea masuala ya uwekezaji wa viwanda mojawapo ni kujenga kiwanda cha kuunda magari ya Toyota under license, tayari wizara ya viwanda imetenga eneo hilo la uwekezaji wa kiwanda ambapo CEO wa Toyota Japan kasema wataanza ujenzi wa hicho kiwanda mwanzoni mwa mwaka 2017 baada ya kufanya upembuzi yakinifu ya eneo la ujenzi na kusema wataanza na kuunda magari ya CC under 2000 ambapo soko kuu la uuzaji magari ya nchi za east Africa and Central Africa 25 % yatatokea Tanzania,
Pia CEO wa Toyota Japan ameahidi kujenga sambamba kiwanda cha kutengeneza spea za magari ya aina zote ya Toyota hapo hapo kitakapojengwa hicho kiwanda.
Mwakahuu tutasikia mengi
 
Raisi Magufuli hii sasa ni sifa, embu punguza kidogo, utaua watu kwa vihoro, pole pole waache kwanza wadigest habari za Bomba la mafuta na ajira 10, 000 ulizotuletea, nimesikia hata makubaliano ya SGR tayari, Duh hii ni kasi ya kimondo!
umenichekesha ndugu
 
Hapana mkuu, kimondo ipo slow, hii ni supersonic speed,
Mzee wangu Magu ana misifa sana ujue..
Na hapa nimeanza kuelewa kwa nini Kuna nchi zunarekebisha katiba ili viongozi wao wagombee awamu zingine..

Naipenda nchi yangu Tanzania
Hahaha vijana mnafurahisha safi sana
 
Back
Top Bottom