MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,598
- 30,140
Ndugu yangu Tutegemee mengi zaidiRaisi Magufuli hii sasa ni sifa, embu punguza kidogo, utaua watu kwa vihoro, pole pole waache kwanza wadigest habari za Bomba la mafuta na ajira 10, 000 ulizotuletea, nimesikia hata makubaliano ya SGR tayari, Duh hii ni kasi ya kimondo!
Huyu ndio chaguo la Watanzania na mtetezi wetu