LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
1. Kabla ya mwaka 1999 tanzania ilikuwa nchi pekee kubwa duniani kutokuwa na tv ya taifa.
2. Kabla ya uhuru wa kuanzisha vyombo binafsi vya habari kulikuwa na radio moja rtd, magazeti ya dailynews na sundaynews, uhuru na mzalendo na gazeti la mfanyakazi.
3. Mwenyekiti na katibu wa chama cha mpira wa miguu fat waliteuliwa na serikali.
4. Chama cha wafanyakazi kilikuwa ni jumuiya ya chama tawala, ccm (juwata), hakukuwa na miagomo wala maandamano wakati huo.
5. Timu ya YANGA ikipata ushindi enzi hizo walishangilia ccm!,ccm!,ccm!...jaribu siku hizi uone!
6. Kiongozi alikuwa akikaribishwa kwenye mikusanyiko kwa kibwagizi cha chama chetu chajenga nchi.
7. Bendi za dansi hazikuweza kuruhusiwa kurekodi nyimbo zao bila kuanza kwanza na wimbo wa siasa kusifu chama au viongozi.
8. Usafiri wa uma mikoani, mabasi ya kamata na trc.
9. Bidhaa muhimu ziliruhusiwa kuuzwa kwenye maduka ya ushirika tu.
2. Kabla ya uhuru wa kuanzisha vyombo binafsi vya habari kulikuwa na radio moja rtd, magazeti ya dailynews na sundaynews, uhuru na mzalendo na gazeti la mfanyakazi.
3. Mwenyekiti na katibu wa chama cha mpira wa miguu fat waliteuliwa na serikali.
4. Chama cha wafanyakazi kilikuwa ni jumuiya ya chama tawala, ccm (juwata), hakukuwa na miagomo wala maandamano wakati huo.
5. Timu ya YANGA ikipata ushindi enzi hizo walishangilia ccm!,ccm!,ccm!...jaribu siku hizi uone!
6. Kiongozi alikuwa akikaribishwa kwenye mikusanyiko kwa kibwagizi cha chama chetu chajenga nchi.
7. Bendi za dansi hazikuweza kuruhusiwa kurekodi nyimbo zao bila kuanza kwanza na wimbo wa siasa kusifu chama au viongozi.
8. Usafiri wa uma mikoani, mabasi ya kamata na trc.
9. Bidhaa muhimu ziliruhusiwa kuuzwa kwenye maduka ya ushirika tu.