Tanzania Internet Rates as of May 25, 2011 (Comparison)

Na kubaliana na wewe 100% tigo wako safi, ila kuna vitu hawajaweka wazi kwa wateja wao ndio maana wengi wanalalamika.... Ila kwa upande wangu na enjoy sana kwa kutumia huduma ya tigo,iko fast na inakidhi mahitaji yangu....Ila bado gharama za mtandao kwa upande wa data ziko juu sana kiasi kwamba kama hauna kipato cha kutosha kupata hii huduma kwa usahihi wake ni ndoto kwa baadhi ya watu....
yeah tigo nawakubali ila watu tunaotumia simu wanatubana sana.
 
mi ninachowashukuru nikiunga light day ya 450 kwa siku 2 poa tu ila ndo uwezi kudownload maana hizi sm za window mobile zinakamua balaa...
ila kuna shida moja kwenye mitandao yote ikifika tu jioni balaa tup tigo wanarudi kwenye GPRS pamoja na airtel ni ziko slow balaa..
 
mi ninachowashukuru nikiunga light day ya 450 kwa siku 2 poa tu ila ndo uwezi kudownload maana hizi sm za window mobile zinakamua balaa...ila kuna shida moja kwenye mitandao yote ikifika tu jioni balaa tup tigo wanarudi kwenye GPRS pamoja na airtel ni ziko slow balaa..
Hiyo nahisi wamesha ondoa, kilichopo 450 unapewa mb20.
 
Mimi nakamua broadband ttcl. Hakuna noma. Speed usipime. pesa yako tu.

Mkuu nakuunga mkono. Broadband ya TTCL hakuna longo2 na kwa speed ndo yenyewe. Ukiwa na ka internet cafe kadogo unanunua product inayoitwa "UNLIMITED" Mwanzoni hawakua nayo hii na watu tukaangukia kwa hawa walanguzi wa internet ambao nao walikua na product kama hii lakini bei yake ni mara mboli na speed ni uozo mtupu. TTCL Broadband ndo suluhu. Sijui modem zao kama zikoje.
 
Voda na airtel wako safi. On my side, natumia voda for my comp, but kwny cmu nipo airtel. Voda spidi yao ni nzuri, and so is airtel. Voda kuna unlimited na zina spidi nzuri tu. Also airtel unapata 400MB for a month jst for 2500Tsh, with a nice speed. For me those are the best two.
 
Bei za Internet bandwidth South Africa linganisheni na Za bongo ndio mtakapoona bongo tunaliwa na kuibiwa

Hizo ni Private Company ndio zinauza Bandwidth na speed ipo faster kuliko ta TTCL ambayo mnaisifia. Na Castomer Care ndio usipime unavyosaidiwa watu wapo serious na kazi zao sio huko wanadandia kazi halafu ujeuri mwingi kama vile service wanatoa bure kumbe unalipia. Na zipo kampuni kibao zinafanya biashara ya kuuza bandwidth, nafikiri Tanzania wangeruhusu huu ushindani tusingeona TTCL wanauza hizo bandwidth kwa Milion


Capped ADSL - Unshaped ADSL - Cheap ADSL at R9,50GB

afrihost.JPG



Uncapped ADSL Broadband: Internet Addict - Internet Access - MWEB
mweb.JPG


BT Web

gb.JPG
 
Mkuu nakuunga mkono. Broadband ya TTCL hakuna longo2 na kwa speed ndo yenyewe. Ukiwa na ka internet cafe kadogo unanunua product inayoitwa "UNLIMITED" Mwanzoni hawakua nayo hii na watu tukaangukia kwa hawa walanguzi wa internet ambao nao walikua na product kama hii lakini bei yake ni mara mboli na speed ni uozo mtupu. TTCL Broadband ndo suluhu. Sijui modem zao kama zikoje.
Modem dhao mbomba. Nimeitumia kwa miaka 4 bila thida thatha!
 
kaka usifananishe south africa na tz service za mitandao ya simu ni kama daladala. Konda anaeza akasema bila elf 50 sitoi gari mpaka mzichange. So uchache wa watumiaji wa internet unasababisha bei iwe juu ipo siku tukiwa wengi mb 1 itakua sh 5. Ila mependa bundle ya airtel ya wiki gb 3 kwa sh 10.000 ambayo ni sawa na mb3 sh 10 safi
 
Mkuu,

Unaweza pata comparison za rates za maproviders wanaotoa dedicated links. 512kbps -> 10mbps

B.P (2011)
 
Uncle,., hawa tigo hii 700/= wanacharge kwa MB ngapi mana me nimejinga kwa xaxa nashindwa hata jua nimebakiwa na Mb ngapi akatika hii siku ya leo
 
Huku kwangu Airtel wanataka kunipa presure naweka bandle ya 15000 per week lakini hat file la 20KB linashindwa ku uploadZaidi zaidi speed in less than 2kb/s very low utadhani ujafungua kitu. Ukipiga customer care ndio kabisa ugonjwa wa moyo dakika 10 kungojeaa. Na ukimopata hana majibu . Ukipiga Tawi lao la Arusha ukichaa mtupu kuna dada pale sijui kwa nini alitoaSimu yake unaweza piga siku nzima asipokee. Sasa najiuliza kwa nini akupe simu yake aliopewa na ofisi na ukipiga hapokei. Yaani maudhi matupu nipeni ushauri wandugu nihamie wapi?. Yaani kuna siku natamini kuivunjilia mbali ka modem kao
Hamia tigo,kuaplod internet tigo garama nafuu na speed ni poa,ila huo ni pendekezo langu we angalia preference yako
 
Hao Voda 3g coverage yao ni kimeo kuliko mitandao yote ya GSM!!!Yaani ukivuka Ubungo tu kuelekea Kimara,hamna 3G wakati mitandao mingine yote inashika walau bar 1
 
Habari za sasa hivi.

Nilikuwa ninaitafuta hii thread. Naomba tufanye comparison rates za 2013.

B.P 2013
 
Mi nataka kujua kuhusu providers wa uhakika wa ADSL, mambo ya modem na huduma zao fwamba vimenichosha kabisa, I think ukifanya majumuisho we are going backwards. Mkonga wa taifa umefikia wapi? hivi hii nchi inaelekea wapi? stone age?
 
Back
Top Bottom