Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Mara ya mwisho kuongelea haya ilikuwa ni 2008, wakati huo tulikuwa bado tunabamizwa zaidi ya sasa, lakini mambo yamebadilika.
The below rates are the current rates of our ISPs in Tanzania, as of today (May 25, 2011):
#1. Airtel:
So, hapa utapata 8 GB kwa TZS 70,000/= monthly. Kama una ofisi ndogo na unataka kutumia same bundle bado kuna routers. Routers hizi zinauzwa kwa TZS 350,000/=. Kama ukiwasiliana na kitengo cha DATA unasaidiwa haraka sana tofauti na wengine. Ukichukua package ya 96GB ikaisha haimaanishi usubiri 1yr ndo uweze ku-renew, uki-renew hapohapo package inaanza upya.
#2 TTCL
CHANZO: Products and Services
TTCL Mobile na modem zao bado ni nightmare, rates zinafurahisha lakini bado service hii ukweli haipewi support ya nguvu. Wengi wanadai ni kwakuwa ni mali ya umma, sipendi kuamini lakini nalazimika kukubaliana nao. TTCL Broadband ina speed nzuri na ya kuridhisha, tatizo ni pale unapokumbana na tatizo kupata msaada inaweza kukuchukua hata wiki. Tatizo jingine ni namna ya ku-recharge internet inapoisha, inawezekana ukalazimika kufunga safari kwenda kwao ama kupiga simu kuomba kujaziwa huku ukiulizwa password ya line yako! This' frustrating.
#3 Zantel:
Hawa rates zao ni kama za VodaCom kwa kiwango flani lakini nasikia wametoa rates mpya ambazo kilichobadilika ni kuwa bundle imekuwa doubled rate inabaki palepale. Tatizo kubwa ninaloliona kwa jamaa hawa ni pale walipoanza kuwabana watu kuwa lazima wawe wateja wa 'high life' na wateja wengi wakaanza kujikata. Zantel kwa sasa nasikia wanatoa 2GB - 40,000 per month. Si bei nzuri kulinganisha na waliowatangulia lakini ni afadhali kuliko wengine tutakaowaona chini yao. Customer service ya Zantel wanajitahidi lakini BADO wanahitaji wataalam wa DATA kuwepo kusaidia kwani wengi huonekana kubahatisha tu. Ukweli huu unakera lakini tukubali kukosolewa. 20GB kwa Zantel unalipia TZS 270,000 per month!
Rates Source: http://www.zantel.com/zconnect.html
Routers za Zantel ni nzuri na zinafaa sana kwa wenye biashara ndogo ndogo. Aidha, ukiwa nayo unaweza kuitumia kwa VodaCom pia. Nimejaribu kufanya hivyo na imewezekana.
#4. VodaCom
Rates za VodaCom ni kama nilivyozitoa hapa - Internet Bundles
VodaCom wapo safi upande wa customer service, lakini naamini kuna watakaokuwa na maoni tofauti na yangu, naamini tunaweza ku-share.
Hapo juu utachanganya na za kwako!
#5. tiGO
Hawa rates zao ziko clear lakini unakuwa limited kwa speed, kuna kitu sijakielewa hivyo hii rating inaweza kuwa unfair. Angalia chini unaweza kung'amua nini kinatatiza.
Chanzo cha bei hizi ni hapa: - http://www.tigo.co.tz/internet/packages.php
#6. SasaTel
Hawa jamaa nadhani strategically walikosea, wanatakiwa kuangalia upya service yao. Customer care saaafi lakini packages hizi ni utata mtupu
Chanzo cha bei: - Bundle Codes - Sasatel homepage
Kwa ujumla bado internet ni bei ya juu kwa TZ kulinganisha na Kenya, naamini kufikia mwishoni mwa mwaka mambo yatakuwa safi zaidi ya inavyoonekana kwa juu.
The below rates are the current rates of our ISPs in Tanzania, as of today (May 25, 2011):
#1. Airtel:
So, hapa utapata 8 GB kwa TZS 70,000/= monthly. Kama una ofisi ndogo na unataka kutumia same bundle bado kuna routers. Routers hizi zinauzwa kwa TZS 350,000/=. Kama ukiwasiliana na kitengo cha DATA unasaidiwa haraka sana tofauti na wengine. Ukichukua package ya 96GB ikaisha haimaanishi usubiri 1yr ndo uweze ku-renew, uki-renew hapohapo package inaanza upya.
#2 TTCL
CHANZO: Products and Services
TTCL Mobile na modem zao bado ni nightmare, rates zinafurahisha lakini bado service hii ukweli haipewi support ya nguvu. Wengi wanadai ni kwakuwa ni mali ya umma, sipendi kuamini lakini nalazimika kukubaliana nao. TTCL Broadband ina speed nzuri na ya kuridhisha, tatizo ni pale unapokumbana na tatizo kupata msaada inaweza kukuchukua hata wiki. Tatizo jingine ni namna ya ku-recharge internet inapoisha, inawezekana ukalazimika kufunga safari kwenda kwao ama kupiga simu kuomba kujaziwa huku ukiulizwa password ya line yako! This' frustrating.
#3 Zantel:
Hawa rates zao ni kama za VodaCom kwa kiwango flani lakini nasikia wametoa rates mpya ambazo kilichobadilika ni kuwa bundle imekuwa doubled rate inabaki palepale. Tatizo kubwa ninaloliona kwa jamaa hawa ni pale walipoanza kuwabana watu kuwa lazima wawe wateja wa 'high life' na wateja wengi wakaanza kujikata. Zantel kwa sasa nasikia wanatoa 2GB - 40,000 per month. Si bei nzuri kulinganisha na waliowatangulia lakini ni afadhali kuliko wengine tutakaowaona chini yao. Customer service ya Zantel wanajitahidi lakini BADO wanahitaji wataalam wa DATA kuwepo kusaidia kwani wengi huonekana kubahatisha tu. Ukweli huu unakera lakini tukubali kukosolewa. 20GB kwa Zantel unalipia TZS 270,000 per month!
Rates Source: http://www.zantel.com/zconnect.html
Routers za Zantel ni nzuri na zinafaa sana kwa wenye biashara ndogo ndogo. Aidha, ukiwa nayo unaweza kuitumia kwa VodaCom pia. Nimejaribu kufanya hivyo na imewezekana.
#4. VodaCom
Rates za VodaCom ni kama nilivyozitoa hapa - Internet Bundles
VodaCom wapo safi upande wa customer service, lakini naamini kuna watakaokuwa na maoni tofauti na yangu, naamini tunaweza ku-share.
Hapo juu utachanganya na za kwako!
#5. tiGO
Hawa rates zao ziko clear lakini unakuwa limited kwa speed, kuna kitu sijakielewa hivyo hii rating inaweza kuwa unfair. Angalia chini unaweza kung'amua nini kinatatiza.
Chanzo cha bei hizi ni hapa: - http://www.tigo.co.tz/internet/packages.php
#6. SasaTel
Hawa jamaa nadhani strategically walikosea, wanatakiwa kuangalia upya service yao. Customer care saaafi lakini packages hizi ni utata mtupu
Chanzo cha bei: - Bundle Codes - Sasatel homepage
Kwa ujumla bado internet ni bei ya juu kwa TZ kulinganisha na Kenya, naamini kufikia mwishoni mwa mwaka mambo yatakuwa safi zaidi ya inavyoonekana kwa juu.