BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Mwanakijiji, nitaendelea kubakia mwana ccm ila kuna wakati naona inabidi kusema yale yanayoumiza moyo kama nilichoona hapa. Kimeniumiza sana moyo kwa kweli.
Si vibaya ukiamua kubaki mwanaccm. Unachotakiwa kufanya sasa hivi ni kuwa sauti ya mabadiliko ya kweli ndani ya chama hicho na serikali ambako kumejaa mafisadi. Ukiweza kufanya hivyo basiwengi wetu tutakuheshimu sana. Hapa tuna mwanaccm mwingine FMES haoni aibu kujitambilisha hivyo lakini siku zote yuko mstari wa mbele kupigania haki na maslahi ya Watanzania badala ya mafisadi ndani ya chama na serikali.