- Thread starter
- #21
Masaka... sikujua unaguswa na matatizo ya Tanzania. Ulipojitokeza kutetea CCM miye nilikuwa nahesabu muda tu kabla "mwanga wa ukweli" haujakuzukia. Inasikitisha kuona CCM inapoteza mtetezi mzuri kama wewe. Nina uhakika watakumiss.
Ila nakuomba usikate tamaa, jaribu kutetea unayoweza kwani mchango wako ni muhimu sana na ulileta balance ya pekee humu. Chonde chonde usiache kukitetea chama chako.
Mwanakijiji, nitaendelea kubakia mwana ccm ila kuna wakati naona inabidi kusema yale yanayoumiza moyo kama nilichoona hapa. Kimeniumiza sana moyo kwa kweli.