Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole sana bwana masaka kama ndio umeyajua baada ya kumuona kelly amekwenda uko...ila sasa inabidi uanze kuwa mzalendo wa nchi yako kwa kutembelea sehemu nyingi zenye shida na hapo ndipo utakapozidi kukiona hicho chama unachokitetea kichungu.
Nashukuru kuwa umekubali makosa yako,kitu ambacho kinahitaji uajsiri sana,haswa kwa sisi watanzania.
Naamini kuwa Chama si tatizo, bali ni wale viongozi na vibweka vyao ndio wametumia chama kama mwanvuli wa kufanya uharamia wao.....hawa mimi nina waita ni majambazi ni maharamia ambao wameteka chama.
Kilichobaki, wewe ni kusaidia wanachama wenzako ambao bado ni wengi wasafi mkiokoe chama chenu.
BRAVO MASAKA.....hii ndio tunaita Utaifa kwanza and then Chama au Mke.
Masaka umeanza kugundua heee!?
Ukifikiria hali kama hii ambayo inatokea Uwanja wa Fisi ambako si mbali toka ikulu, inatisha kufikiria nini kinaendelea kwingine kule wapiga picha wasikofika.
Inafikia wakati mambo kama haya yamguse hata Kikwete mwenyewe.