Kuna nyeti bado hazijawa rasmi kwamba upo mkakati wa kijasusi wa kuingiza taifa hili kwenye maandamano makubwa very soon.
Mkakati huo unaundwa na majususi kutoka nchi mbalimbali za ulaya na amerika na several attempts zimefanyika kuwafanya wananchi walipuke
lakini imeshindikana. Sasa wanataka kutumia wanajeshi wetu. na attempts zao zinakua hivi:
1. wanaleta skendo (which is very true) ila wanangalia zile zenye impact kwa kundi kubwa la watu mathalani wanajeshi
2. Wanawatumia economic hitmen
3. Kuna crisis nyingine itatokea very soon kama ile ya mafuta then kabla haijaisha itatokea ingine in between wananchi wataingia barabarani
na hii ndio ntoleee either the government fall or situation changed.
Hiyo ndiyo brief niliyopata.
My TAKE: Ni kweli hali ya maisha ni ngumu, ni kweli tunao ufisadi na ni kweli viongozi wetu legelege. URANIUM itatuletea matatizo very soon.
kuna mapapa na manyangumi yanaililia lakini wataweza kuiexplore better when they have their own government.
Napenda sana kuona utawala wa ccm ukiondoka madarakani lakini sio kwa external forces but internal once.
Msiniulize source, sit down contemplate what is happening see what can be done to rescue.
Sio lazima upost kwenye hii thread cha msingi fikiria
Tanzania nchi yangu, Mungu ibariki Tanzania
Mkakati huo unaundwa na majususi kutoka nchi mbalimbali za ulaya na amerika na several attempts zimefanyika kuwafanya wananchi walipuke
lakini imeshindikana. Sasa wanataka kutumia wanajeshi wetu. na attempts zao zinakua hivi:
1. wanaleta skendo (which is very true) ila wanangalia zile zenye impact kwa kundi kubwa la watu mathalani wanajeshi
2. Wanawatumia economic hitmen
3. Kuna crisis nyingine itatokea very soon kama ile ya mafuta then kabla haijaisha itatokea ingine in between wananchi wataingia barabarani
na hii ndio ntoleee either the government fall or situation changed.
Hiyo ndiyo brief niliyopata.
My TAKE: Ni kweli hali ya maisha ni ngumu, ni kweli tunao ufisadi na ni kweli viongozi wetu legelege. URANIUM itatuletea matatizo very soon.
kuna mapapa na manyangumi yanaililia lakini wataweza kuiexplore better when they have their own government.
Napenda sana kuona utawala wa ccm ukiondoka madarakani lakini sio kwa external forces but internal once.
Msiniulize source, sit down contemplate what is happening see what can be done to rescue.
Sio lazima upost kwenye hii thread cha msingi fikiria
Tanzania nchi yangu, Mungu ibariki Tanzania