Tanzania govt on Homosexuality: We can do without UK aid

Habari zisizo rasmi baada ya Uingereza kuleta kizungumkuti serikali kwa kupitia waziri wa mambo ya nje kufikiria uwezekano wa kujitoa kwenye jumuiya ya madola na kujiunga OIC. K wa mujibu wa source inaonekana kuwa hii huwenda ikapata baraka mapema sana kutokana na hali ya uchumi inavyokwenda sasa nchini.
Wananchi wataombwa kuacha udini na kujali utamaduni ili kubariki kujiunga na OIC kwa dhumuni la kujikwamua kiuchumi baada ya mfadhili wetu uingereza na nchi nyingine za ulaya zinazosubiriwa kutangaza kuunga mkono uingereza kuweka hicho kama kigezo kikuu cha msaada.

Nchi za scandnavia huenda zikatoa nazo tamko hivi karibuni kuweka kigezo cha haki za binadamu (including MASHOGA) kama sababu ya nzito ya kupata msaada chanzo kimeeleza.

Membe na binamu yake JK hawana njia mbadala isipokuwa OIC chanzo kimeelezwa.

OIC: The Organisation of Islamic Cooperation (OIC) (formerly Organization of the Islamic Conference) is the second largest inter-governmental organization after the United Nations which has membership of 57 states spread over four continents. The Organization is the collective voice of the Muslim world and ensuring to safeguard and protect the interests of the Muslim world in the spirit of promoting international peace and harmony among various people of the world.

The Organization was established upon a decision of the historical summit which took place in Rabat, Kingdom of Morocco on 12th Rajab 1389 Hijra (25 September 1969) as a result of criminal arson of Al-Aqsa Mosque in occupied Jerusalem


Hapo ndipo pale yale maamuzi magumu tena.


Hapo hakuna cha OIC wala nini ndugu yangu, ina maana Membe anataka kutuletea siasa za Nigeria hajui kuwa hapa ni Tanzania. Ni afadhali tubaki bila msaada wowote ili tujitume kufanya kazi kuliko matatizo na hao mabwana. Angalia nchi zote wanachama wa OIC ni vurugu tupu, kupiga domo kuanzia asubuhi mpaka jioni. Kwani ni lazima ccm iongoze, sisi watanzania tutaangalia faida na hasara zilizopo. Lazima tuufikirie ujumbe wa waziri Cameruni alikuwa na nia gani wakati anajua nchi nyingi za Afrika hazikubaliani na ushoga. Inawezekana na wao wamechoka kutumikia matumbo ya viongozi wanaohitaji masaada kwao wakati wananchi wao wanafanya kazi usiku na mchana. Tanzania fanyeni kazi acheni kupiga domo. Kama serikali haitimizi malengo ya wananchi uamuzi tunao ya kuwaondoa.
 
Kwani mkuu hatuwezi kuishi bila kutembeza bakuli la omba omba? Lazima tukijitoa jumuia fulani tuhamie nyingine kwa sababu ya kuomba? Je nako wakiweka kigezo cha kuwa lazima tuoe wake wanne? Itakuwaje?

uliza vizuri babu mzaa baba alikuwa na wake wangapi?mtume abraham,na solomon walikua na wake wangapi?wazungu wakaleta mambo ya mke mmoja na sasa mambo ya jinsia moja
 
Ni stress test kutoka katika Serikali ya Uingereza, zinazomfanya Membe na Serikali yake ya Ccm kuwa katika siasa za visasi.

Huko anakotaka kukimbilia ni shimoni na kwenye masharti zaidi ya kidini na maendeleo zero. Ni siasa za kutapatapa ambazo haziko katika mfumo maalum bali kuwapigia magoti matajiri wa kiarabu, Membe atueleze maendeleo yaliyokwishapatikana OIC na faida iwapo Tanzania inahitaji kukimbilia huko, Ikiwa wewe Membe unaamuwa kubadilisha dini na kuwa muislam hilo ni chaguo lako, na hayo masharti uliyopewa kama uwezi kugombea urais kupitia chama cha Ccm bila kuwa muislam hayo ni matatizo yako binafsi, kwani kila binaadam ana haki na ridhaa ya kubadilisha dini anayoiamini na anayoipenda wakati wowote. Kwa hilo lisikuchanganye na kutaka kuwatumbukiza Watanzania katika matatizo yasiyokuwa ya lazima, na mwisho wa yote utaangukia katika sharia. vitu vingine mnavyovifanya ni kuwabuluza Watanzania kwa ajili ya fadhila za kipumbavu.

Sio kila kitu mnajiamulia tu bila kuwasikiliza watu waliokupeni dhamana ya kuwaongoza, kiwepesiwepesi mnaochukuwa kimaamuzi madhara yake ni kwa Taifa zima. Jumlisheni kwanza akili zenu halafu ndio mtangundua madhala yake ni nini.
 
Kwani ila jumuia ya nchi zisizofungamana na upande wowote iliendaga wapi ? na tulijitoa lini?
 
watanzania tusiwe na wasiwasi wala hofu juu yab OIC,haina madhara.Africa kusini,uganda,kenya,DRC ni wanachama wa OIC.tusihofu hili.
Kama haina madhara basi tuwekee faida zake hapa.....wameshindwa nini kuwasaidia ndugu zao Palestine,Libya,Irak etc
 
Kwani ila jumuia ya nchi zisizofungamana na upande wowote iliendaga wapi ? na tulijitoa lini?
Hii jumuiya ilikufa kifo cha mende pale vita baridi ilipo koma,.......by the way huu upuuzi wa kubadilisha mabakuli hatuutaki,...ni lazima tujifunze kujitegemea....misaada zaidi ya nusu karne haijaonyesha kumkomboa mwafrika,nchi zote za kiafrika ambazo zimedhubutu kuishi kwa raslimali zao ndio za mfano kwa sasa_see Libya,Rwanda...just to mention few
 
jamani watanzania wenzangu 2fanye kazi kwa bidii 2epuke kuombaomba OIC ni aina nyingne ya ukoloni mambo leo
 
Balozi wa Uingereza hapa nchini ametunisha misuli na kupinga vikali kauli ya Mhe.Bernard Membe aliyoitoa jana!

Amesema kuwa kama Serikali ya Tanzania itaendelea na msimamo wa kupinga USHOGA itabidi Uingereza ifikiri upya juu ya Uhusiano wake na Tanzania.

Source: Ameongea na waandishi mda mfupi uliopita

UPDATE:

Serikali ya Tanzania imetoa msimamo wake kama inavyoonekana chini:
Fri Nov 4, 2011

* Uganda, Ghana also say will defy UK aid threat
* Tanzania says can do without UK aid

By Fumbuka Ng'wanakilala (Reuters)

Tanzania has become the latest African government to say it will not legalise homosexuality even if that means it loses substantial financial aid from Britain.

Government officials reacted strongly to British Prime Minister David Cameron's threat to cut aid to countries that deny gay rights.


"Tanzania will never accept Cameron's proposal because we have our own moral values. Homosexuality is not part of our culture and we will never legalise it," foreign affairs minister Bernard Membe was quoted as saying by Tanzania's Guardian newspaper.


"We are not ready to allow any rich nation to give us aid based on unacceptable conditions simply because we are poor. If we are denied aid by one country, it will not affect the economic status of this nation and we can do without UK aid."


Tanzania, a former British colony and one of Africa's biggest per capita aid recipients, received $453 million of aid for its 2011/12 budget, with Britain the largest provider of general budget support.


Ghana's President John Atta Mills said on Wednesday his government would never legalise homosexuality. Uganda has also reacted strongly to Cameron's comments.

The UK Department for International Development (DFID) gave Tanzania 144 million pounds ($229 million) in aid in 2009/10 and has pledged to spend an average of 161 million pounds per year in Tanzania until 2015.

Homosexuality is a serious criminal offence in Tanzania, punishable by imprisonment, but no one has been prosecuted.


"We cannot be directed by the United Kingdom to do things that are against our set laws, culture and regulations," Membe was quoted as saying.


Zanzibar President Ali Mohamed Shein also rejected the British demands for gay rights to be respected in Tanzania.


"We have strong Islamic and Zanzibari culture that abhors gay and lesbian activities, and to anyone who tells us that development support is linked to accepting this we are saying no," Shein told journalists on Thursday.


Zanzibar, Tanzania's semi-autonomous archipelago, enacted a law in 2004 banning homosexual relations. Male offenders face more jail time, up to 25 years, than convicted women.


Homosexuality is illegal in 37 African countries, and rights groups say gays are often the targets of violent hate campaigns. ($1 = 0.627 British Pounds) (Aadditional reporting by Ally Saleh in Zanzibar; Editing by Richard Lough and Robert Woodward)


© Thomson Reuters 2011 All rights reserved
 
Siku akina aunt Moody wakiandamana kutoka Magomeni, Kinondoni na Ilala sijui Membe atasema nini!!!

Anyway, inaelekea hii kitu imekuja kwa vile JK aliwatolea nje hao Magay wa UK kuwa Diplomat Bongo. Nafikiri walifanya vyema, ila hakukuwa na haja ya kuanza kupiga kelele mitaani!!
 
Hawa wazungu sasa watalazimisha mpaka waafrika wote tuolewe ndo misaada ije,tuanze na wao kwanza!!!!!shenzi zao

Hivi kwani tunafaidika na nini hasa kwa sasa hivi na hii jumuia inayotulazimishia ushoga,nadhani tujikite kwa wachina mara elfu kuliko hawa wapuuzi
 
Hawa wazungu tumewaendekeza sasa wameanza kutupiga 'middle finger' kutuandaa kwa mazoezi wanayoyafagilia sana Europe na America
 
Achape mwendo kwa mashoga wenzake,hawa wazungu ni wapumbafu sana,Waafrika ni zaidi ya wazungu waliotufananisha na nyani.
 
Nchi nyingine nazo wakifuata nyayo za UK at last bakuli litatulia mezani.
 
Balozi wa Uingereza hapa nchini ametunisha misuli na kupinga vikali kauli ya Mhe.Bernard Membe aliyoitoa jana! Amesema kuwa kama Serikali ya Tanzania itaendelea na msimamo wa kupinga USHOGA itabidi Uingereza ifikiri upya juu ya Uhusiano wake na Tanzania.

Source:ameongea na waandishi mda mfupi uliopita.

huyu shoga mpuuzi sana .sasa anamtisha nani?sio kufikiria tu aamue sasa hivi kufunga virago au kama vipi balozi wetu nchini uingereza arudi nyumbani ili wajue tuko serious.halafu nilisikia malkia wa uingereza atakuja kwenye sherehe za uhuru,binafsi sitaki kukiona hiki kizee!!kum@nina zao mashoga hawa.
 
Hivi kwani tunafaidika na nini hasa kwa sasa hivi na hii jumuia inayotulazimishia ushoga, nadhani tujikite kwa wachina mara elfu kuliko hawa wapuuzi
Ukishakuwa masikini lolote lile utafanyiwa hasa umasikini wa kujitakia...

Hata hao wachina nao kuna siku watataka tufanye watakavyo..... hivyo hatuko salama ... Usalama ni pale tutakapoanza kutumia lasilimali zetu vizuri.
 
Back
Top Bottom