Tanzania govt on Homosexuality: We can do without UK aid

huu mchezo mchafu haufanani na dini,kabila,siasa,wala utamaduni wa mtanzania epuka ku husisha ila vina uhusiano na waingereza,D.cameroon na wazungu waishio Ulaya na america.
 
waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa , bernard membe jana aliungana na rais wa zanzibar , dr. Ali mohammed shein na rais a ghana john atter mills kupinga kauli ya waziri mkuu wa uingereza, david cameroon ya kutaka nchi zinazoomba misaada kwao zitambue haki za mashoga.

"hili suala ndio sera ya conservative (chama anachoongoza cameroon ambacho ni wafadhili wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema). Waliipa baiskeli, pikipiki na magari uchaguzi wa mwaka 2005 na 2010). Sasa wanaliunganisha na masuala ya misaada.

Awali lilichomoza kwenye vikao vya maofisa waandamizi wa jumuiya ya madola. Waingereza wliupenyeza kwenye ajenda ha haki za binadamu mawairi tukalikataa kwenye kikao chetu, alisema membe.
alisema mapema mwaka jana nchi moja kubwa rafiki na tanzania aliteua balozo wake mpya nchini aliyekuwa aje na mke mwanaume mwenzake lakni rais kikwete alikataa na hatimaye akabadilishwa.


chineke oohhhhhhhhhhhhh kikwete hongera kwa hilo
 
Hata ketu wapo tena serikalini. mimi nadhani uingereza ilitaka nasisi tukiri ili jumuia ya kimataifa ijue kuwa bongo ( Zanzibar ) kamehalalishwa kamchezo hako.
 
Kikwete tunamkubali watanzania.Mambo yake kimyakimya sio mtu wa majigambo kama CDM.Nasikia yapo mambo mengi sana ameisha yazuia akiwemo lile suala la mabalozi kuwapa fedha wapinzani ili kung'oa CCM.KIKWETE nomaaaa yaani kimyakimya tu.
Yaani Kikwete ni balaaa......! halafu kuna wapuuzi wanasema eti serikali yake inaendeshwa na mfumo kristo wakati mzee mzima shughuli yake pevu ya kimya kimya inaonekana. CCM hoyee..!
 
watanzania tusiwe na wasiwasi wala hofu juu yab OIC,haina madhara.Africa kusini,uganda,kenya,DRC ni wanachama wa OIC.tusihofu hili.
 
Naunga mkono hoja kama watakuwa hawa charge interest rate(Uislam hauruhusu kucharge interest rates)

Pia kama hawana masharti ama stringes attached ambazo zitaendelea kuharibu Taifa.

Kujiunga kwasababu ya kutemeeza bakuli peke yake ndo sikubaliani.

Pia kwasababu naamini hakuna free lunch.Especially kwasababu wenzetu wako kibiashara zaidi.
 
Fedha yetu wanarudisha huko Ulaya halafu, wanataka kwenda kuhemea. Haka kajamaa kanakoongea kamefunga midomo, we kaache. Ipo siku tutavunjavunja miwani yake.
 
....
Wananchi wataombwa kuacha udini na kujali utamaduni ili kubariki kujiunga na OIC kwa dhumuni la kujikwamua kiuchumi
......

OIC: The Organisation of Islamic Cooperation (OIC) The Organization is the collective voice of the Muslim world and ensuring to safeguard and protect the interests of the Muslim world

Tuweke tofauti zetu za kidini huku kwa kujiunga na OIC? Tuache mkoloni mmoja, twende kwa mwingine. Je wakisema tuanzishe sharia law tutaenda wapi tena?
 
Magwanda, vipi? wafadhili ikiwa ni hao na nyie wenyewe mna unga mkono?
chadema wanapinga uchafu aina zote,ccm wamekumbatia uchafu wote sasa kama hili wameliona tuwapongeze kama ni kuoga wameosha miguu ila bado wachafu.
 
Hivi hatuwezi kuhamasishana tukafanya kazi kwa juhudi na kupiga marufuku watu kukaa vijiweni na badala yake watu wapewe mashamba tupambane kuinua nchi yetu? Hivi haiwezekani kubadili mind set za waTZ kuliko misaada itufanye tudhalilike kiasi hicho na mara nyingine tufanye maamuzi ambayo hatukuyataka. Kujiunga OIC ni yale yale ya kusujudia misaada badala ya Mungu na tusipoangalia tunaweza kujikuta pabaya zaidi.
 
Acha ziendelee kuwa tetesi zikiisha thibitishwa na wanaserikali nitatoa tamko au mtizamo wangu kama raia wa tz.
 
watanzania tusiwe na wasiwasi wala hofu juu yab OIC, haina madhara. Africa kusini, Uganda, Kenya, DRC ni wanachama wa OIC. Tusihofu hili.


Huu ndio ujinga ambao kila siku tunaupinga humu JF. Huwezi kuhalalisha nchi ile kinyesi eti kwa sababu nchi flani flani zinakula na bado hazijafa. GO OUT OF THAT BOX PLEASE.
 
Kwani mkuu hatuwezi kuishi bila kutembeza bakuli la omba omba? Lazima tukijitoa jumuia fulani tuhamie nyingine kwa sababu ya kuomba? Je nako wakiweka kigezo cha kuwa lazima tuoe wake wanne? Itakuwaje?

...kama watakuja na sharti la wanaume tuoe wake wanne hilo halitakuwa baya coz atamila zetu kwa makabila fulan hapa Tanzania zinaruhusu,lakini hilo la wanaume kuoana alikubaliki kabisa...
 
baada ya kuenesha ushoga kupitia ukristo wa anglikana sasa waingereza wameamua kueneza mambo hayo kupitia misaada ya serikali yao! LABDA TUJIUNGE NA WORLD CHRISTIAN ORGANISATION tatizo tutarudi kule kule kwani anglican church ni ruksa ushoga!sheria kali dhidi ya uzinzi ushoga zahitajika sasa
 
Back
Top Bottom