harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa , BERNARD MEMBE jana aliungana na Rais wa Zanzibar , Dr. Ali Mohammed Shein na Rais a Ghana John Atter Mills kupinga kauli ya Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameroon ya kutaka nchi zinazoomba misaada kwao zitambue haki za Mashoga.
"Hili suala ndio sera ya Conservative (chama anachoongoza Cameroon ambacho ni wafadhili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Waliipa baiskeli, pikipiki na magari uchaguzi wa mwaka 2005 na 2010). sasa wanaliunganisha na masuala ya misaada.
Awali lilichomoza kwenye vikao vya maofisa waandamizi wa jumuiya ya Madola. Waingereza wliupenyeza kwenye ajenda ha haki za binadamu mawairi tukalikataa kwenye kikao chetu, alisemA Membe.
Alisema mapema mwaka jana nchi moja kubwa rafiki na Tanzania aliteua balozo wake mpya nchini aliyekuwa aje na mke mwanaume mwenzake lakni Rais Kikwete alikataa na hatimaye akabadilishwa.
"Hili suala ndio sera ya Conservative (chama anachoongoza Cameroon ambacho ni wafadhili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Waliipa baiskeli, pikipiki na magari uchaguzi wa mwaka 2005 na 2010). sasa wanaliunganisha na masuala ya misaada.
Awali lilichomoza kwenye vikao vya maofisa waandamizi wa jumuiya ya Madola. Waingereza wliupenyeza kwenye ajenda ha haki za binadamu mawairi tukalikataa kwenye kikao chetu, alisemA Membe.
Alisema mapema mwaka jana nchi moja kubwa rafiki na Tanzania aliteua balozo wake mpya nchini aliyekuwa aje na mke mwanaume mwenzake lakni Rais Kikwete alikataa na hatimaye akabadilishwa.