Tanzania: Fake phones to be blocked soon!

Kwa nini iwe specifically kwenye simu bandia tu wakati nchi imejaa karibu kila kitu fake nilitegemea waanze na vipodozi madawa na vyakula ambavyo vinaleta madhara makubwa ya moja kwa moja kwa watumiaji.
Na serikali inajiwajibishaje kwa kuruhusu vitu vya kutuangamiza viingie kiholela ilihali **** watu walioajiliwa na kulipwa hela nyingi bure kwa minajiri yakuzuia na kuharibu bidhaa feki zinazoingia nchini lakini badala yake wanahongwa na wafanyabiashara walafi kuingiza bidhaa bandia.
Siku moja moja unawaona kwenye luninga wanachoma bidhaa bandia lakini ukienda Kariakoo unakuta maduka yamesheheni bidhaa bandia tupu unajiuliza hao maofisa hawazioni au wakishakatiwa mchezo unaisha.
Tatizo la bidhaa bandia ni kubwa mno nadhani umefika wakati wakuliwekea sheria kali nakulipa kipaumbele cha aina yake.
 
waziblock tu maana hayo si ndio matakwa ya watawala wa magharibi kuikandamiza Uchina

we kumbe haujui hasara za simu feki.?.ina haribu competitive power ya ndan.halafu nchi inakuwa kama dampo mpaka kupelekea deficit bal of payment.wamefanya la mana hata kama wamekopi.hamna aliye zaliwa na concept yake.
 
Kwa nini iwe specifically kwenye simu bandia tu wakati nchi imejaa karibu kila kitu fake nilitegemea waanze na vipodozi madawa na vyakula ambavyo vinaleta madhara makubwa ya moja kwa moja kwa watumiaji.
Na serikali inajiwajibishaje kwa kuruhusu vitu vya kutuangamiza viingie kiholela ilihali **** watu walioajiliwa na kulipwa hela nyingi bure kwa minajiri yakuzuia na kuharibu bidhaa feki zinazoingia nchini lakini badala yake wanahongwa na wafanyabiashara walafi kuingiza bidhaa bandia.
Siku moja moja unawaona kwenye luninga wanachoma bidhaa bandia lakini ukienda Kariakoo unakuta maduka yamesheheni bidhaa bandia tupu unajiuliza hao maofisa hawazioni au wakishakatiwa mchezo unaisha.
Tatizo la bidhaa bandia ni kubwa mno nadhani umefika wakati wakuliwekea sheria kali nakulipa kipaumbele cha aina yake.

sawa kabisa.
 
Ni jambo zuri,litawafanya wachina wajipange upya ili watengeneze simu bora. Kwano mchina ni mkombozi anatengeneza simu hadi line nne. Badala ya kununua simu nne unanunua moja tu. Hivo sisi walalahoi tunaona simu za mchina ni kama mkombozi.
 
WHAT IF THEY ACQUIRE FAKE Central Equipment Identification Registrar (CEIR)? For Tz that if possibel and they won't be able to detect any fake phone, hence business as usual.
 
Wazifungie tu sababu sim nyingine zimekuwa kero, unakuta mtu umejichokea zako anaingia mtu kwenye gari na limchina lake kafungulia mziki huoo! Utadhani ameitwa awe Dj kwenye hlo gari.
 
Je TCRA washafikiria ni asilimia ngapi ya wa tz wanamiliki counterfet mobile phones? Kabla Kenya hajafanya huo uamuzi TCRA walikuwa hawajui kuwa tz kuna sim fake? Wawajibike kuletea taifa hasara na hii yote ni kwasababu ya Corrupt, Nepotic and Impunitic government! Dawa fake, Vyakula fake, all utility fake utaniambia tuwaviongozi wazalendo, they are there just to serve their interests! Let us support M4C!

the initiative to switch off fake mobile phones was agreed on in a meeting of the East African Communication Organization (EACO).
TCRA ilijua mapema kuwa kuna simu feki ila ni kwamba Kenya wanatekeleza makubaliano haraka maana kuna intelijensia ya uchumi inayofanya kazi kwao, wanajua kuanza kwao kabla ya wengine kutawanufaisha maana hizo feki kwao zitakuwa sio hasara zitatupwa Tz, Ug, Rwanda na Burundi.. kwetu na wengine itakuwa ni hasara maana pa kutupa patakosekana.
 
hatajawahi kutoka na idea yetu wenyewe,,, kazi kuiga iga tu,,,,,, ila tutafika tu
Hata kenya sio idea yao wenyewe.. ni idea ya pamoja angalia hapo chini.. au ndio uvivu wa kusoma na kuwasifu jirani zetu kwa kila kitu? Mbona limezungumzwa siku nyingi mpaka sheria imewekwa kabla Kenya hawajatekeleza..
the initiative to switch off fake mobile phones was agreed on in a meeting of the East African Communication Organization (EACO).
Electronic and Postal Communications (Central Equipment Identification Register)
GOVERNMENT NOTICE NO. 417 published on 9/12.2011
THE ELECTRONIC AND POSTAL COMMUNICATIONS ACT
(CAP.306)
 
sasa TCRA wakiswitch off hizi simu za kichina mbona karibia 70% ya simu za Tanzania zitazimwa nani atafidia hasara hii??
 
TCRA ilijua mapema kuwa kuna simu feki ila ni kwamba Kenya wanatekeleza makubaliano haraka maana kuna intelijensia ya uchumi inayofanya kazi kwao, wanajua kuanza kwao kabla ya wengine kutawanufaisha maana hizo feki kwao zitakuwa sio hasara zitatupwa Tz, Ug, Rwanda na Burundi.. kwetu na wengine itakuwa ni hasara maana pa kutupa patakosekana.

Mkuu sasa hivi kariakoo kuna simu hivi sasa bei bwerere used from Kenya lakini utadanganywa Dubai
Unaambiwa kuna waBongo wanakwenda Kenya kuzikusanaya simu used na zile zilizokuwa store madukani na kuzileta Tz.......kwenda china kufuata mzigo wa simu hivi sasa ni kutaka menyewe, zimejaa tele hapo Kenya na bei ya kutupa
Bongo zaidi ya uijiavyo
 
kwamba watablock fake phones ni story tu, kwani TCRA na TBS walikuwa wapi wakati simu hizo zinaingizwa?
 
Hata kenya sio idea yao wenyewe.. ni idea ya pamoja angalia hapo chini.. au ndio uvivu wa kusoma na kuwasifu jirani zetu kwa kila kitu? Mbona limezungumzwa siku nyingi mpaka sheria imewekwa kabla Kenya hawajatekeleza..

Mkuu fredmlay ni kweli hii sio idea ya Kenya bali ni makubaliano ya EACO yanayotokana na shinikizo kutoka kwa wakubwa kwenye vita ya kibiashara dhidi ya Uchina

Lakini kikubwa hapa ni jinsi wenzetu Kenya walivyokuwa wepesi kubaini hili na adhari zake kiuchumi, amini usiamini hivi sasa wafanyabiashara wa simu Kariakoo hawaendi tena Dubai wala Uchina kufuata mzigo wa simu kwenye maduka yao..........wote wanakimbia Kenya kuzinunua na kuja kuzibwaga hapa..........................unadhani wamefanya hivi haraka kwa bahati mbaya, NOPE simply because tunafikiria hatua moja mbele

Haya mambo wawakilishi wetu wanotuwakilisha kwenye makubaliano kwenye jumuiya ndio wanatakiwa kuyaangalia na si kukubaliana na kutia saini tu.........ni au tu switch off wakati mmoja ama tufukuzane na muda kuwa wakwanza kufanya hivyo
Lakini sasa ona tunavyotumiwa na Kenya hata kwenye jambo dogo tu kama hili, yaani wanasuburi hadi Kenya wafanye lakini hata tangazo au kutoa taarifa kwamba watu wasiagize tena simu fake maana soon zitakuwa switch off hakuna

Kwa akili zetu za haraka haraka za kibongo ningumu sana kubaini kwanini Kenya wamehakikisha wanakuwa wakwanza kufanya hivi na kwanini walikuwa wamwisho kulazimisha usajili wa no za simu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom