Mimi wameshanizingua sana,coz nilipeleka cv zangu 2009 wakaniita 2011 lakini ni uzushi mwanzo mwisho yaan kuchakachua ...
kwanza kama kuna kazi ya maana kwanza wao wenyewe wajipgia pande kwa hiyo utangoja sana.........
mnnnh kazi iipo,subira yavuta kheri ila ukisubiri sana huwa shari.
haraka haraka haina baraka.
ngoja ngoja yaumiza matumbo.
chagua moja.