Tanzania Elimu hii tunatoka kweli????

Yasser5

JF-Expert Member
Mar 15, 2012
207
17
Kama silabuse za TZ zisipo hakikiwa bado mtegemee maisha kuendelea kuwa magumu lecture anafundisha masaa manne darasan anacho kifundisha hakin reality na maisha nje ya darasa mifano mingi ya ulaya aah i never go ulaya bhana am a poor Tanzanian ili twende sambamaba mifano ya kipindi itoke nchini mwangu
Nna hasira alfu nawasilisha
 
Back
Top Bottom