hicho tunachopoteza kinakwenda mifukoni mwa watu tena watanzania. usifikiri walisaini huku hajui wanacho saini, hiyo lugha ni ya kutudanganya sisi.Na wageni bado wanaendelea kukwapua madini yetu bila Watanzania kunufaika na lolote kutokana na rasilimali kubwa tulizojaliwa na Muumba.