Tanzania Commercial Banks Salary Scale

Kuna benki moja rangi yake ya kibiashara ni bluu na nyeupe ina asili ya kikaburu makao makuu yake ni pale kona ya kinondoni, teller mwenye bachelor anaanza na gross ya 750,000/-, sales person wa premium yao anaanza na 1,200,000/- gross..ila wana matawi machache kwahyo hata kupata kaz huko ni ngumu kidogo kwa sababu wanaajiri mara chacje sana..afu mabenefit yao ya ukwel sana at least unaweza kuappreciate mtu anaefanya kaz benki ana tofauti..ila benki zingine majanga tu
hyo ni baclays au standard chattered?
 
Mimi npo somewhere 800,000/- gross as Loan Officer,so full majanga mkuu,kinachoniuma ni kodi ya hayo maCCM,bora kujiajiri.

Ndio maana Kila mara narudia:-
Watz wengi hawalipi kodi ndio maana hawaelewi maana ya mageuzi.
 
ndio maana wanaibiwa huwezi kaa tasisi yakutamanisha km hiyo zen unalipwa pesa ndogo...
 
hahahaaa! alafu ukiwaona watu wa bank wanavyonata utadhani wanalipwa mil5!! khaaaa!! bora niendelee kuuza vitumbua hata silipi kodi
 
Hivi teller unataka kulipwa sh.ngapi? Hata mwalimi mwenye diploma anafanya hiyo kazi.
Loan officer unataka kulipwa sh.ngapi maana pale ni training hata ukimtrain Mwalimu anafanya hiyo kazi.
Tafuteni CPA,CISA au masters za finance halafu ufanye kazi za finance,mhasibu au auditor ndio utaona utamu wa bank.
 
Kitaani wabongo wengi hatuambiani ukweli, wengi wa benki huwa wanatudanganya wanacholipwa, mmoja tuh aliwahi niambia anapata 750k ila wengine wote husema M+
 
Kitaani wabongo wengi hatuambiani ukweli, wengi wa benki huwa wanatudanganya wanacholipwa, mmoja tuh aliwahi niambia anapata 750k ila wengine wote husema M+

Bank wanachofaidi ni mikopo yenye riba nafuu sana
 
Niliwahi fanya Bank Moja kubwa corporate coloor zao ni blue na nyekundu, jamani kwa miaka miwili sikuwahi kuula perdiem zaidi ya zile nilizopata kwenye training!

Kwa kifupi sikuwahi safiri safari ya kulala nje ya kituo cha kazi.
Ni naungana na mdau aliyesema Bank ni sehemu ya kupiita tu!

Itakua bank M
 
Back
Top Bottom