BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,481
Kalale kama akili yako inakutuma kwamba mchezaji atakuwa bora bila vigezo.
Kichwa chako kitakuwa kigumu kuelewa....nimekusaidia lkn naona bado unarudi pale pale! Pole sana
Kalale kama akili yako inakutuma kwamba mchezaji atakuwa bora bila vigezo.
Mkuu kwa mujibu wa Mess amekiri katika wote ni Ronaldinho pekee ambaye hafananishwi Na yeyote,,,binafsi Messi ni weka mbali Na watoto japo CR7 nampenda,,,WADAU WENZANGU HESHIMA KWENU!
1-DIEGO ARMANDO MARADONA
View attachment 343533
2- LEONEL ANDRES MESSI
View attachment 343534
Tangia soka lianze hapa ulimwenguni je! Ni mchezaji yupi aliyefikia kiwango cha wafalme hawa wa soka hapa duniani Al maarufu DIEGO ARMANDO MARADONA & LEONEL ANDRES MESSI??
Nataka tu niwakumbushe wadau wenzangu! Najuwa kuna wengine watakuja hapa na misemo tofauti tofauti na mada isemavyo flani anamagoli mengi la hasha! hapa hatuzungumzii wingi wa magoli bali tunazungumzia viwango bora vya mchezaji!
MARADONA NA MESSI wanajulikana ni wachezaji wa kipekee mno kuwahi kutokea katika ulimwengu huu wa soka, wamepitia wakati mgumu sana,
Tofauti na kipindi cha akina PELE Wamecheza katika kipindi ambacho watu hawakuwa wakijua sana mpira tofauti na sasa, na hata sheria zilikuwa laini Mno tofauti na sasa Sheria zimekuwa ngumu kitu kidogo filimbi, hebu fikiria kuwa kipindi hicho OFF-SIDE zilikuwepo za kumwaga , hata ukimpa mtu ki-pepsi ilikuwa ni poa tu, ukimpiga mtu push ya nguvu jambo la kawaida REFA hakufikirii kama sasa.....
Vile vile ufungaji ulikuwa ni mrahisi mno, magoli yalikuwa sio magumu kama ambavyo tumewashuhudia katika kipindi chao.
Pia ningeomba tuwe wakweli bila kuwa na ubaguzi wa aina yeyote ule.. eti kwa sababu huyu White tusimpe haki yake, eti kwa sababu huyu ni Black tusimpe haki yake..... No! hiyo haipo... na kama mtu huyo atachagua mchezaji kwa kigezo cha rangi ama utaifa wake basi huyo atakuwa si mshabiki haswaa wa soka. Kila mchezaji tumpe haki yake awe mweusi ama mweupe na vilevile taifa alikotoka.
Ahsanteni;
Messi is the greatest player of ALL TIME
Sijawahi kumuona huyo maradona ila Kama ishu Kama ni ufundi aisee sijawahi ona mtu anayekipiga Kama gaucho akifuatiwa na zidane.
mmoroco
Hayo yakommoroco
nimegusa penyeweHayo yako
nimegusa penyewe