playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,647
- 1,565
ungeamua kubaki na mawazo yako usingekuja na huu upuuzi ungejiandikia chumbani kwako uwe unajisomea mwenyewe, umeweka hapa ili tusome na tutoe mtazamo wetu..sasa umeona tunatofautiana kimtazamo na tunataka records ziongee unakuwa mkali...futa huu upuuzi mzee, huna records umekuja na mahaba yako hapa unataka kutuhadaa, we know footbal,we have records.Ndio maana nikakuambia kila mmoja na mtazamo wake, so baki na kile unachokiamini wewe,hakuna mtu aliyekulazimisha kuamini. Sawa mkuu!!