Tangu Magufuli aingie madarakani ni mambo mawili tu ninayompongeza

Bora leo umejionyesha rangi yako halisi afu huwa unajiita chadema bila aibu.....

Unasahau ni mikutano hyo hyo ilizaa mchakato wa katiba mpya, ilizaa uwajibikaji baada ya kuibuliwa tuhuma nyingi za kifisadi ambazo watu kma mramba na yona wakachukuliwa hatua....

ilizaa kukosoa serikali ili ijirekebishe mfano gharama za safari za nje na ukubwa wa baraza la mawaziri na mengi sana yenye tija kwa maendeleo anyway kma unaona KUZUIA MIKUTANO YA kukosoa na kuisimamia serikali kwenye uwajibikaji ni swala la kupongezwa basi sawa tena mwambie na 2020 apunguze gharama kwa kutoweka uchaguzi aendelee tu hadi atakapojiskia.

Huyo jamaa nimemfuatilia muda mrefu post zake na ni haki yake kabisa kidemokrasia. Huyo jamaa alikuwa mwanacdm na huenda alikosa nafasi ya uongozi hasa baada ya gia kubadilishwa angani. Kitendo hicho naona kimemuacha na nongwa (frustration) ya hatari. Hapo anaposema kuzuiwa mikutano roho yake imesawijika kwani anashindwa tu kuwataja cdm bali wangalau kumempunguzi machungu yake. Nadhani huwa mke wake anamzodoa kwa kupoteza muda na fedha zake kisha kupotezewa dakika za mwisho. Hali ya kunyimwa madaraka huwa inauma sana kwa mtu yoyote, hatuna la zaidi bali tunakubali hali anayopitia ni ya kibinadamu kabisa, na anaruhusiwa kuwaponda cdm awezavyo kwani kama ni wasikivu basi watajirekebisha kupitia vilio vyake hapa jukwaani.

cc: juvenile davis
 
Bora leo umejionyesha rangi yako halisi afu huwa unajiita chadema bila aibu.....

Unasahau ni mikutano hyo hyo ilizaa mchakato wa katiba mpya, ilizaa uwajibikaji baada ya kuibuliwa tuhuma nyingi za kifisadi ambazo watu kma mramba na yona wakachukuliwa hatua....

ilizaa kukosoa serikali ili ijirekebishe mfano gharama za safari za nje na ukubwa wa baraza la mawaziri na mengi sana yenye tija kwa maendeleo anyway kma unaona KUZUIA MIKUTANO YA kukosoa na kuisimamia serikali kwenye uwajibikaji ni swala la kupongezwa basi sawa tena mwambie na 2020 apunguze gharama kwa kutoweka uchaguzi aendelee tu hadi atakapojiskia.
Lowasa mbona haumsemi
 
Lowasa mbona haumsemi
Sasa si tumeshajua ukweli wa mambo na tatizo lilianzia kwa RAIS DHAIFU sasa unataka tuendelee kumuita lowassa fisadi??

Mikutano hyo hyo tuliita cuf ni ccm B ila tumeweka tofauti zetu pembeni tukashirikiana unataka tuendelee kuwaita CUF ccm B leo??

Nashangaa umemtaja lowasa tu wakati tulimsema muhongo,kikwete,chenge n.k why lowassa always???
 
nampongeza Magufuli kwa kuleta mabadiliko Tanzania, ujinga wa zamani unaanza kwisha kabisa, vilaza wako mitaani wanalia pamoja na marafiki zao machangu.
 
UKAWA imekufa,
CUF inakufa
Mbowe anafilisika.
Asee ahsante kwa taarifa mkuu sasa mazishi lini ya hyo ukawa tuhudhurie??

Sasa naona utumie fursa hii kumshauri mwenyekiti wako aruhusu mikutano ya hadhara na aweke tume huru maana wapinzani wameshakufa wote.....au unaonaje mkuu kamshauri basi maana ukawa hawapo tena so hakuna madhara :D:D:D:D
 
Kwanza niseme tu wazi kwamba Magufuli sikumpigia kura na wala sitakuja nimpigie kura hata hiyo 2020. Japokuwa nilijua atashinda na ninajua pia hata 2020 atashinda na safari hii nahisi atashinda kwa kishindo.

Ila kiukweli pamoja sikumpa kura yangu kuna mambo mawili tu nampongeza tangu aingie madarakani. Kuna vingi kafanya ,mfano kanunua ndege,kabana matumizi,kazuia safari za nje kwa wateule wake,kajenga airport huko Chato,mapato TRA yameongezeka,kazuia mianya ya rushwa na wizi.

Kaleta mahakama ya mafisadi japo haina wafungwa,kaondoa wanafunzi na wafanyakazi hewa,,aisee ni mengi kafanya. Ila mimi hayo yote hayanihusu maana sio mwajiriwa wa mtu wala wa serikali na sifikilii kuajiliwa.kwa hiyo hayo hayanihusu kabisa. Mimi alichonifurahisha ni

1: Kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa,kwa kweli nampa hongera raisi,kwa sababu hii mikutano inaleta uongo na kudumaza akili za watanzania,ni mikutano hiihii ilisema Lowassa ni mwizi na fisadi papa,na ni mikutano hiihii ikaja kusema Lowasa sio mwizi bali ni mwanamabadiliko. Kwa hiyo kitendo cha rais kuzuia hii mikutano ni cha kupongezwa na kila mweye akili timamu. Hii mikutano haikuwa na tija bali ni kupoteza muda tu na kusemasema wau

2: Kuzuia bunge live kwa kweli amecheza kama pele. maana ilifikia hatua wabunge wanatafuta umaarufu tu bungeni ila majimboni kwao hawana cha maana. Sasa safari hii wakae wafanye maedeleo majimboni, yale mambo ya kupata ubunge kwa sababu tu ya umaarufu wako hayapo tena. Maana kuna watu ni wabunge tu ila wanajulikana Tanzania nzima ova ni mbunge wa taifa. Sasa safari hii ubunge wataupata kutokana na maedeleo wanayoleta majimboni na sio kwa umaarufu tu. Na natamani rais asilegeze kamba,ashikilie hapohapo.
It seems you wrote while dreaming
 
Back
Top Bottom