MgungaMiba
JF-Expert Member
- Aug 28, 2011
- 999
- 815
Siku zote majambazi wa kawaida hutumia namba za bandia kwenda kufanyia uhalifu, kwani wakitumia gari bila namba, basi hata askari (Patrol) wasio na shaka watashtuka. Kwa hiyo waliomteka Dr Ulimboka, Kama ni kweli gari lao halikuwa na namba, ni dhahiri walikuwa na uhakika wa kutobughudhiwa na wanausalama wowote watakaokutana nao. Kwanini? Kama sio wenzao?