Tangu Soka lianze hadi leo hii, Kuna Mchezaji yeyote aliyefikia kiwango cha Maradona au Messi?

Haha endelea kuumia tu kwa sababu brazil kwenye mpira hakuna kama wao pele kwa maradona ni sawa na kifo na usingizi kama maumivu yakikuzidi nenda kakumbatie transformer.
 
Haha endelea kuumia tu kwa sababu brazil kwenye mpira hakuna kama wao pele kwa maradona ni sawa na kifo na usingizi kama maumivu yakikuzidi nenda kakumbatie transformer.

Blackpansa amekupiga Questions naona unabwabwaja tu...we kweli shabiki mandazi, watu ka ninyi hampaswi kuwepo humu,mnatuchafulia thread like dis....
 
jifunze kuheshimu mawazo ya watu na sio kutoa mipasho..... huu ni ushabiki wa mpira si kila unachokishabikia kishabikiwe na wote!

Naheshimu sana mawazo ya wa2,pili mimi co mtoa mipasho like u una bahatisha-bahatisha hujui ukisemacho eti brazil inajua mpira..wewe upo dunia ya wapi?

-ushabiki haumlazimishi mtu ashabikie mtu flani hayo ni mawazo yako wewe, hapa hatupo kwa ajiri ya kulazimisha wadau washabikie any player,, wewe shabiki mandazi hujui mpira nenda shule
 
Haya basi acha nikufanye ulale kwa uzuri leo..brazil ni kari kishenzi hata 2014 imempiga Germany kwake week - one:D:D:D:D
 
Kwangu maradona bora alisaidia timu take kushinda world cup , Pele ,ronaldihno,zizzou,backenbah, pirlo, de lima wote hao dunia inawajua, kina messi cr7 bora kwenye club zao duniani wala hawatusumbui wanazidiwa na wakina muller ,ozil, iniesta Alonso,del pielo kwenye kombe lenye heshima duniani wanajulikana .narudia messi na c7 bora kwenye club zao sio duniani
 
Nashauri mchezaji bora tumpime mechi ikiwa imeisha bilabila halafu tuone mashabiki tumefurahishwa?hakika mchezaji bora kwangu ni Gaucho
 
Cristiano Ronaldo "CR7" is the great, greater and greatest player in all planets. Hata ukimpeleka polisi tabora anafit n kuonyesha kiwango cha hali ya juu
 
Cristiano Ronaldo "CR7" is the great, greater and greatest player in all planets. Hata ukimpeleka polisi tabora anafit n kuonyesha kiwango cha hali ya juu
Huyo pimbi tu... Cr7 ni among washambuliaji bora wa Muda wote top 5 yupo. Lakini unapo zungumzia greatest players wa mda wote Maradona, Messi,Cruyff, platini, Beckenbauer, Di Stefano(greatest Madrid player of all time) , Pele, Charlton, Eusebio, Zidane, puskas, De lima,Xavi.Hawa watu walikua na Talent/ability na success /trophies(individual/teams success and trophies ) .
 
WADAU WENZANGU HESHIMA KWENU!

1-DIEGO ARMANDO MARADONA
View attachment 343533

2- LEONEL ANDRES MESSI

View attachment 343534

Tangia soka lianze hapa ulimwenguni je! Ni mchezaji yupi aliyefikia kiwango cha wafalme hawa wa soka hapa duniani Al maarufu DIEGO ARMANDO MARADONA & LEONEL ANDRES MESSI??

Nataka tu niwakumbushe wadau wenzangu! Najuwa kuna wengine watakuja hapa na misemo tofauti tofauti na mada isemavyo flani anamagoli mengi la hasha! hapa hatuzungumzii wingi wa magoli bali tunazungumzia viwango bora vya mchezaji!

MARADONA NA MESSI wanajulikana ni wachezaji wa kipekee mno kuwahi kutokea katika ulimwengu huu wa soka, wamepitia wakati mgumu sana,

Tofauti na kipindi cha akina PELE Wamecheza katika kipindi ambacho watu hawakuwa wakijua sana mpira tofauti na sasa, na hata sheria zilikuwa laini Mno tofauti na sasa Sheria zimekuwa ngumu kitu kidogo filimbi, hebu fikiria kuwa kipindi hicho OFF-SIDE zilikuwepo za kumwaga , hata ukimpa mtu ki-pepsi ilikuwa ni poa tu, ukimpiga mtu push ya nguvu jambo la kawaida REFA hakufikirii kama sasa.....

Vile vile ufungaji ulikuwa ni mrahisi mno, magoli yalikuwa sio magumu kama ambavyo tumewashuhudia katika kipindi chao.


Pia ningeomba tuwe wakweli bila kuwa na ubaguzi wa aina yeyote ule.. eti kwa sababu huyu White tusimpe haki yake, eti kwa sababu huyu ni Black tusimpe haki yake..... No! hiyo haipo... na kama mtu huyo atachagua mchezaji kwa kigezo cha rangi ama utaifa wake basi huyo atakuwa si mshabiki haswaa wa soka. Kila mchezaji tumpe haki yake awe mweusi ama mweupe na vilevile taifa alikotoka.

Ahsanteni;

Mimi ninamtazamo tofauti juu ya hili,hebu jiulize-uwanjani kuna forward,midfield,back-centre,right na left,,back hawezi kufunga magoli mengi,kadhalika midfield atafunga magoli ya wastani kwanini sifa siku zote ziende kwa ma-striker pekee,kumbuka kuna mabeki vitasa,kuna viungo wakabaji waliozibeba timu zao lakini hawakumbukwi.....Vipi kuhusu Zidane,Okocha.,Dietmar Hamman...etc huu ni mfano tu wapo magwiji wengi waliosahaulika
 
Hao wawili ni wazur sana kwenye dribbling na maumbo yao yamewapa advantage,wanapokuwa na mpira ni ngumu kuuchukua
Kwenye hilo hao ni bora wa muda wote

Lakini mpira hauna skills hizo tu
Kuna skills nying ambazo wanazidiwa
Watakao mtaja Ronaldinho/Okocha/Ziddane ni wale wanaopenda mchezaji mwenye ufundi na udambwi dambwi wa chenga,ball control etc
Kumbuka hata Ku defend ni skills na hapo utamtaja mtu kama Mathieu's

Kama mim ntakwambia mchezaji bora kwangu wa muda wote ni Ronaldo De Lima kwanza ndie alieni motivate kuupenda Mpira na navutiwa sana na uchezaji wake na uwezo wake wakufuga
 
Pele is overrated,nothing special.

View attachment 343820
Unaposema Maradona ndio aliefanya watu wapende soka ni uongo
Pele anajulikana mpaka na wasioshabikia Mpira...kuna watu hawajui
nadhani unaujua msemo wa
"Umecheza kama pele"
Pele ni icon ya mpira duniani....hilo halina ubishi
Kuhusu nani ni gwiji zaidi ya mwengine its another case
 
Why Maradona and Messi wameshika no 1 ktk best Players in the world alaf Gaucho yupo wa 31 na still siku zinavyozidi kuloloma anaendelea kudrop? Usipende kuhadithiwa hakikisha mwenyewe......

We jamaa muongo sana
Kwaza itakuwaje Messi na Maradona wote wawe namba moja at the same time??

Hyo list umeipata wapi??
List inayojulikana na kutumika ni ile ya IFFHS
1."Pelé" (Brazil) 1705 (Edson Arantes do Nascimento)
2.Johan Cruijff (Netherlands) 1303
3.Franz Beckenbauer (Germany) 1228
4.Alfredo di Stéfano (Argentina) 1215
5.Diego Armando Maradona (Argentina) 1214
6.Ferenc Puskás (Hungary) 810
7.Michel Platini (France) 722
8.Garrincha (Brazil) 624 (Manoel dos Santos Garrincha)
9.Eusébio (Portugal) 544 (Eusébio Ferreira da Silva)
10.Robert Charlton (England) 508
 
hivi huyu maradona anasifika kwa nini hasa??hivi mechi alizofanya vitu vya maana kukumbukwa kihistoria zinafika hata 10???hilo goli alilofunga kwa kupiga chenga defence ya england yote Messi kashafunga mengi tu,Giggs tu aliwafunga Arsenal bao kama hilo!!Binafsi sijawahi kuona kama Maradona anashabihiana na sifa apatazo. Ndani ya moyo wangu Namkubali Messi amekuwa akitesa ktk soka years and years every weekend!!Ila ktk Akili yangu mafundi wa mpira wakiongozwa na Ronaldinho na Zidane wako mbele zaidi
 
Mmemsahau De Lima, huyu jamaa watalamu wa soko wanakuambia ni moja kati ya wachezaji bora kabisa kuwahi kuwepo, na kumbuka kwa Brazili baada ya Pele, no Ronardo De Lima ndo anafuata.
 
Mimi ninamtazamo tofauti juu ya hili,hebu jiulize-uwanjani kuna forward,midfield,back-centre,right na left,,back hawezi kufunga magoli mengi,kadhalika midfield atafunga magoli ya wastani kwanini sifa siku zote ziende kwa ma-striker pekee,kumbuka kuna mabeki vitasa,kuna viungo wakabaji waliozibeba timu zao lakini hawakumbukwi.....Vipi kuhusu Zidane,Okocha.,Dietmar Hamman...etc huu ni mfano tu wapo magwiji wengi waliosahaulika

Mkuu kila mchezaji ana sifa yake kutokana na mchango wake aliyoutoa ktk idara ama position yake si lazima all players watajwe sana,,panapo angaliwa zaidi ni center to foward ndiyo muhimu zaidi!

Vile vile tambua kuwa without attacking midfielder, Striker na foward timu itakuwa ktk hali ngumu sana japo sio wote wanaozisaidia timu zao ama kukubalika...chukulia mfano Maradona alikuwa Attaking midfielder & second strikers, kazi yake kubwa ilikuwa ni kuwachambua defences from center to risk area, then ana-score, hivyo hakuna player yeyote aliyefikia uwezo wake....Messi pia ni strikers na foward pia uwezo wake same maradona japo different positions lakini uwezo wake ni mkubwa mno kuliko player yeyote yule in the world, anauwezo pia wakutokanao mpira center,left and right side japo 65 percent anatumia zaidi guu lake la kushoto na 35 percent anatumia guu lake la kulia...

Kuhusu Zidane mkuu hakusahaulika hata kidogo ukiingia greatest players of all time utamkuta,na position yake ilikuwa ni Attaking midfielder.lakini still kufikia uwezo wa Maradona Na Messi hawa ni another planet... ni hayo tu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom