mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Kulitolewa tangazo: mtu akiwa na watoto 10, anapata zawadi ya gari na nyumba, jamaa mmoja akamwambia mkewe sisi tuna watoto wa wanane (8), nisamehe ninao wengine wawili (2) nje ya ndoa naenda kuwachukuwa.
Aliporudi wale wanane (8) hawapo.
Mke akamwambia Mumewe nisamehe watoto wote wamechukuliwa na baba zao. Kama ungekua wewe utafnyaje??
Aliporudi wale wanane (8) hawapo.
Mke akamwambia Mumewe nisamehe watoto wote wamechukuliwa na baba zao. Kama ungekua wewe utafnyaje??