Tangazo tangazo

Hahaaaaaaaaaaa umenifurahisha kweli mpaka mbavu zinauma kwa kucheka,hayo maandamano yanaanzia wapi nasie tushiriki :biggrin1:
 
Hahaaaaaaaaaaa umenifurahisha kweli mpaka mbavu zinauma kwa kucheka,hayo maandamano yanaanzia wapi nasie tushiriki :biggrin1:

Bado tuna negotiate na polisi ili tuone ni route ipi wataikubali kwa hapa dar
 
mimi siendi kwani mwanaume ni kichwa cha nyumba....wewe dogo unajiharibia hahahaaa !1 lazima mke akukimbie

kwani wewe unahela basi?
kua na hela ndo uone jinsi inavo uma kufanywa ATM
 
Natangaza maandamano ya nchi nzima kwa
wamaume wote ambao wamechoshwa na kufanywa
kama ATM machine na wapenzi wao

223359_113155235437356_100002286405090_132449_3668165_s.jpg

ubahili tu. Ngoja niongee na FFU waandae mabomu ya kutosha.
 
Hakuna cha ATM wala kuchunwa. Ukiomba nawe utaombwa tu. Akikupa utasema umemla na wewe ukimpa tatamba kakuchtna. Ngoma droo.
 
Hakuna cha ATM wala kuchunwa. Ukiomba nawe utaombwa tu. Akikupa utasema umemla na wewe ukimpa atatamba kakuchuna. Ngoma droo.
 
haujamaliza tu kuattend hiko kitu?



We speaker nini bana... Nisha mjibu Ngoswe siku nyingi, tatizo umetuma thread nyingi unashindwa follow up... mm na Ngoswe tushamalizana mpaka kagonga senks...lol... acha ukurofi....
 
We speaker nini bana... Nisha mjibu Ngoswe siku nyingi, tatizo umetuma thread nyingi unashindwa follow up... mm na Ngoswe tushamalizana mpaka kagonga senks...lol... acha ukurofi....

Hahaha
kakupiga sana eh?
fimbo ngapi vile?
 
Back
Top Bottom