Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Kwa taarifa yako,
ruttashobolwa na Elia ni mtu na binamu yake.
Ila si unajua binamu kinyama cha Hamu.
Asante kwa ufafanuzi....watu hawajui mambo mazuri inatakiwa yasiende mbali
Haya sasa,
Mtanange unaanza.
Na wapigiwa kura tuwajue!
Na wasifu wao.
Wana chitchati mnaombwa kujitokeza kupiga kura kwa awamu ya kwanza ya mashindano ya kumsaka miss chitcha kwa mwezi sept,unaombwa kujitokeze kupiga kura tafadhali ili tuwapate wawili watako ingia fainali leo mchana saa 9 kamili na mshindi kutangazwa saa 6 usiku.UNAOMBWA KWENDA KUPIGA KURA KATIKA THREAD HUSIKA
Imetolewa na,waandaaji wa shindano la miss chichat sept
Na wapigiwa kura tuwajue!
Na wasifu wao.
Mtanange huu hauhitaji refarii litashughulikiwa na mimi ruttashobolwa na Madame B
Kwa taarifa yako,
ruttashobolwa na Elia ni mtu na binamu yake.
Ila si unajua binamu kinyama cha Hamu.
mwizi wewe wa wake za watu.
mwizi wewe wa wake za watu.
@Ruhazwe hivi hao wake kwani wanatosha mfukoni??
umejuaje?Hivi bila kunitaja husimami???
Sikupendi ujue?!