Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Naona umeshamtongoza mshiriki mwenzetu,
jiandae kuvunjwa ugoko.
kama ni hivyo kwa Ruhazwe JR nahisi kuna binti katuchanganya hapo
Last edited by a moderator:
Naona umeshamtongoza mshiriki mwenzetu,
jiandae kuvunjwa ugoko.
Hee, majaji wengi hapo mlungula hautoshi.... hebu tumwagie wahesabiji wa kura basi!
kama ni hivyo kwa Ruhazwe JR nahisi kuna binti katuchanganya hapo
ni mimi,hata wewe unaweza kuhesabu kama utataka kujilidhisha,kapige kura kwenye thread husika
Madame B unagombea na wewe?
Yupo anagombea, Ruhazwe JR hivi unaruhusiwa kubadili kura yako umpigie mwingine... maana wengine hawaonyeshi ushirikiano
Ukimya wao wanaouonesha ndio huohuo utakaokuwepo siku ya kuchangia maendeleo.
Piga kura yako sasa.
unaruhusiwa kwa kufanya hiv,unaenda kwenye ile post unai-edit kabla ya saa 9 mchana,maana ikifika saa 9 mchana kura zitafungwa na kuhesabiwa kwa ajiri ya kwenda fainali
dah!...rushwa noma,..chezea madame wewe
Hayo ndo maneno,
tutaonana pale na tena nitakuletea mchuchu m-bichiii!!
Acha Zengwe dogo.
unamjua advocate ruttashobolwa wewe?
umeona eeeh, :spy: