Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,911
Ninasikitika kuwatangazia ndugu jamaa na marafiki kuwa kaka yetu mpendwa Wibert Matoka hatuko naye tena Duniani. Amefariki leo hii 31/08/2008 Dar es salaam katika Hospital ya regent. Alikuwa anasumbuliwa na kutokwa damu puani bila kukoma.
Brother Wilbert Matoka mpaka mauti yalipomkuta alikuwa ni lecturer kule Iringa chuo kikuu cha Mkwawa. MUCHE.
Wilbert alisoma shule za ryamisanga na Masurura Musoma kabla ya kujiunga na masomo ya sekondari Nsumba Mwanza 1972-1975. Baadaye alijiunga na cHuo cha Ualimu cha Taofa Butimba. alihitimu kama mwalimu mwaka 1977 na kupangiwa kwenda Mtwara wilayani Newala. Alifundisha huko miaka kadhaa kabla hajarejea tena butimba na Chang'ombe kusomea Diploma ya Ualimu. Baada ya kuhitimu alifundisha kwa muda chuo cha UALIMU Chang'ombe kabla ya kujiunga na Chuo kikuu cha Dar es salaam kusomea BED in Physical education. Alipohitimu 2000 alendelea ma MA IN education hapohapo mlimani. na alipohitimu alijiriwa kama mhadhiri chuo kikuu cha MUCHE.
Mwalimu kama alivyojulikana sana alikuwa ni mwana michezo hodari. alimudu kucheza na kuwa coach wa michezo kadhaa. wnamichezo wengi wanamjua kuanzia kule umisavuta n.k
Wibert ameacha Mjane Sofia. Vijana wawili Chacha Matoka anayesoma pale kijitinyama ustawi wa jamii(HRM) Warioba Matoka LLB Mlimani na Wegesa Matoka A level sangu secondary school.
Mwili wa marahemu unatarajiwa kusafirishwa kwenda kijijini Masurura Musoma kwa mazishi.
View attachment 2197
Brother Wilbert Matoka mpaka mauti yalipomkuta alikuwa ni lecturer kule Iringa chuo kikuu cha Mkwawa. MUCHE.
Wilbert alisoma shule za ryamisanga na Masurura Musoma kabla ya kujiunga na masomo ya sekondari Nsumba Mwanza 1972-1975. Baadaye alijiunga na cHuo cha Ualimu cha Taofa Butimba. alihitimu kama mwalimu mwaka 1977 na kupangiwa kwenda Mtwara wilayani Newala. Alifundisha huko miaka kadhaa kabla hajarejea tena butimba na Chang'ombe kusomea Diploma ya Ualimu. Baada ya kuhitimu alifundisha kwa muda chuo cha UALIMU Chang'ombe kabla ya kujiunga na Chuo kikuu cha Dar es salaam kusomea BED in Physical education. Alipohitimu 2000 alendelea ma MA IN education hapohapo mlimani. na alipohitimu alijiriwa kama mhadhiri chuo kikuu cha MUCHE.
Mwalimu kama alivyojulikana sana alikuwa ni mwana michezo hodari. alimudu kucheza na kuwa coach wa michezo kadhaa. wnamichezo wengi wanamjua kuanzia kule umisavuta n.k
Wibert ameacha Mjane Sofia. Vijana wawili Chacha Matoka anayesoma pale kijitinyama ustawi wa jamii(HRM) Warioba Matoka LLB Mlimani na Wegesa Matoka A level sangu secondary school.
Mwili wa marahemu unatarajiwa kusafirishwa kwenda kijijini Masurura Musoma kwa mazishi.
View attachment 2197