Preta, bora basi umhudumie usubirie excellent results, lol, unalihudumia kumbe ni www.bamialisis.co.tz, wallah akichanganya na miwhisky kushnei! chali! yaani, halafu eti wanataka magari! labda magari ya mfinyanzi, nitakwenda makongo juu nimtengenezee mmoja wenu moja! lol!, liwe tayaritayari maana birthday zipo kila siku! lol
Boyfriend wako hajapata habari nadhani hajajiunga
Hehe wewe tumefika huko lini?
Preta yaani niliolewa at the age of 20, mdogo wangu 17, my elder sis 21, so hatukupata muda wa kudanganywa kwa kweli, yaani mtu wangu wa kwanza, wa pili akaja kuwa mume mpaka kesho! sasa mziki upo kwa cousins, watoto wa wamama wakubwa na wadogo, mpaka huwa nawahurumia wanavyodanganywa! mmoja anakaa a-town. kaja huku kumeet na huyo mtu wake, ndio hivyo nauli kajilipia, tax kalipa, vinywaji! eeehhh kulivyokucha ananihadithia hiyo story nikamwambia twende kinondoni duka la dildo, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii dildo hazilipi bill wala hazifilisi, hazina wivu, zipo kimyaaaaaaaaaaa zinaomba tu TANESCO wasikate umeme, zipo kazini 24/7. kazi ipo wallah!
mie huo mkataba niliufunga looooong tyme my kaka! nala tu hogo langu kwa sasa, kwa raha zangu!Labdawa kwako...
Kuwa makini utajiumiza mwenyewe kwa kugues kwako
ameshalitupa kuleeeeeeeeeeeeeee long tym Preta, ana kazi ya kubeep tu, toka asubuhi! yaani, yaani, uwiiiiii tuwaombee sana watoto wetu kwa MUUMBA JUU wasijepata mapunga, au dizaini hizi za wanaume! waandamanaji nao tupa kuleeeeeeeeeee! unaandamana we hata vitz ulileta lini??sasa huyo aliyejileta kwa kujilipia nauli.....anasubiri nini kutupa kule hilo ligarasha......wenzake wanalamba madume yeye anaishia kulamba magarasha.....mwambie achange karata aanze mchezo upya.....alaaaaaa.......
ewaaaaa.....mianaume ya hivi huwa naishangaa sana.....sioni tatizo mimi kuclear bill na nini.....lakini basi mtu aonyeshe uanaume wake.....hivi huwa watu hawaoni aibu....
eti nyie wanaume.....kulipiwa kila siku bill na msichana wako huoni noma.....nawauliza......!!!!!!!
ameshalitupa kuleeeeeeeeeeeeeee long tym Preta, ana kazi ya kubeep tu, toka asubuhi! yaani, yaani, uwiiiiii tuwaombee sana watoto wetu kwa MUUMBA JUU wasijepata mapunga, au dizaini hizi za wanaume! waandamanaji nao tupa kuleeeeeeeeeee! unaandamana we hata vitz ulileta lini??
Preta hivi ni wewe au macho yangu yanaona makengeza
Hebu nikatafute miwani yangu maana hii niliyo nayo naona inaona nyota nyota sielewi
Yaani unakuja kuniumbua hivi hivi aise
Kumbe siku ile unalipa bill ulikuwa unanichora eehhh
nilikuchorajeeee......yani unipeleke kibo palace, halafu ndio date ya kwanza.....bill mwenyewe uliiona.....hivi ni kwa nini ulifanya vile....?
We utanipelekaje sehem ngumu kiasi hicho aise
Mi nishazoea nina elfu ishirini yangu nyama choma pale cet garden au pale makaburini na chupa mbili tatu za bia inatosha sasa wewe unanipeleka sehem chupa ya wine tuu Laki
Preta angalia mfuko bana siku nyingine uulize kabisa aise mfukoni zipo