Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,430
- 78,595
...mimi huwasitaki hata kuona hela ta binti...ewaaaaa.....mianaume ya hivi huwa naishangaa sana.....sioni tatizo mimi kuclear bill na nini.....lakini basi mtu aonyeshe uanaume wake.....hivi huwa watu hawaoni aibu....
eti nyie wanaume.....kulipiwa kila siku bill na msichana wako huoni noma.....nawauliza......!!!!!!!