TANZANIAN ASSOCIATION OF BOYFRIENDS
(NABS)
NOTIFICATION OF WARNING STRIKE!!
Dear Tanzanian girls, hope you saw what
Kim K. bought
for Kanye W. on his birthday?
Not a Singlet or Boxers.
She bought A LAMBOGHINI CAR worth $
750k. We are tired of taking boxers and
singlet as gifts.
Sometimes, we even receive socks.
We will hence commence a 3-day
warning strike
taking effect from tomorrow. ENOUGH IS ENOUGH!!
Sign.
Umeona kanye kapewa nin ee?
Desa mbaya..ngoja aedit km atawezaungebadili basi iwe Tanzanian girls badala ya Nigerians
ingekuwa na maana zaidi
Preta watangojaje sasa? wao wenyewe pesa zao za mawazooooooo! dume zima linasubiri kuhudumiwa kila kitu na demu, ukitoka naye hata maji ya kunywa hanunui! mtasubiria sana hayo magari!kwendeni zenu huko.......mtasubiri sana........
hahaha!! have to send this to ma gal.
Kipipi shosti mambo? watagoma wataweza? wakati kila kukicha swala swala wao winga hewani, hata usingizi hawapati! cheko langu, hebu gomeni viwanda vya sabuni vipate soko! lol!
hahaha!! have to send this to ma gal.
Judgement wakili chipeta yupo tayari kunisaidia atanitoaje sasa haraka! tena mtapataje ukilema wa mikono?? itapinda mbele ka banio la ugali, chezeiya geisha weye?! gomeni muione ng'ondo!Mtoto una hatari wewe!
Hivi kwa mujibu wa law act of 1978 cap No 309/65FR/01 unaweza kushtakiwa kwa kosa la uchochezi. Unachochea pu*yeto sio? Na sabuni zikipotea madukani nyie mtafulia nini?
Kipipi shosti mambo? watagoma wataweza? wakati kila kukicha swala swala wao winga hewani, hata usingizi hawapati! cheko langu, hebu gomeni viwanda vya sabuni vipate soko! lol!
Preta watangojaje sasa? wao wenyewe pesa zao za mawazooooooo! dume zima linasubiri kuhudumiwa kila kitu na demu, ukitoka naye hata maji ya kunywa hanunui! mtasubiria sana hayo magari!
ewaaaaa.....mianaume ya hivi huwa naishangaa sana.....sioni tatizo mimi kuclear bill na nini.....lakini basi mtu aonyeshe uanaume wake.....hivi huwa watu hawaoni aibu....
eti nyie wanaume.....kulipiwa kila siku bill na msichana wako huoni noma.....nawauliza......!!!!!!!