Nimelione tangazo hili kwenye mitandao limenifurahisha sana, napenda furaha hii nichangie na wana JF.
Nimelione tangazo hili kwenye mitandao limenifurahisha sana, napenda furaha hii nichangie na wana JF.
Hapo kama mtaa fulani Zenji hivi
Jamiix inaonekana huelewi malengo ya mtandao huu. inatakiwa kazi na dawa. yaani wakati mwingine unatakiwa kucheka kdg ili uweze kufanya siasa vizuri.
MODS embu hamisheni hii kitu
Hawa ndo wanasema walifelishwa kwa maksudi!
naona zanztell no hapo down uamshooooooo
Kwani unaweza ukasema nini tatizo la Tangazo hilo?subirini allykombo na zomba walione hilo tangazo watalisifia wee!!!!!!!!!!!!!!ngoja waje labda walipotezee
Kama kitu hukijuwi si lazima useme, kwa kitu gani kilichokujulisha hii lugha ni ya Kipemba?Hii itakuwa kitu cha Zenji..maana naona pembeni kuwa namba ya Zantel..halafu lugha ya kipemba kabisa.