Matangazo ya lazima kwenye kwenye simu: Hizi sera zipo worldwide au hapa Bongo tu ili watupige mb zetu?

lui03152

JF-Expert Member
Nov 27, 2020
250
338
Habarini wana jamvi,

Kumekuwa na utaratibu kwenye hizi simu za smart kuwekwa kwa matangazo lukuki ya biashara ambayo utake usitake lazima uangalie hadi mwisho, wakati huo cha kushamgaza wanaweka option ya ku quit tangazo hilo kama huitaji but hiyo option kwa kweli ni kama zuga tu maana hai respond chochote, yaan unajikuta unawekewa tangazo la dakika 10 uliangalie hadi mwisho. Hizi sera sipo worldwide au hapa bongo tu ili watupige mb zetu??
 
Habarini wana jamvi, kumekuwa na utaratibu kwenye hizi simu za smart kuwekwa kwa matangazo lukuki ya biashara ambayo utake usitake lazima uangalie hadi mwisho, wakati huo cha kushamgaza wanaweka option ya ku quit tangazo hilo kama huitaji but hiyo option kwa kweli ni kama zuga tu maana hai respond chochote, yaan unajikuta unawekewa tangazo la dakika 10 uliangalie hadi mwisho. Hizi sera sipo worldwide au hapa bongo tu ili watupige mb zetu??
Mbona kwenye simu yangu hamna hayo matangazo? Au inategemea na aina ya simu na mtandao unaotumia?
 
Habarini wana jamvi, kumekuwa na utaratibu kwenye hizi simu za smart kuwekwa kwa matangazo lukuki ya biashara ambayo utake usitake lazima uangalie hadi mwisho, wakati huo cha kushamgaza wanaweka option ya ku quit tangazo hilo kama huitaji but hiyo option kwa kweli ni kama zuga tu maana hai respond chochote, yaan unajikuta unawekewa tangazo la dakika 10 uliangalie hadi mwisho. Hizi sera sipo worldwide au hapa bongo tu ili watupige mb zetu??
Tangazo la dakika 10?
Mtandao gani huo?
 
Mi baada ya kuwa blacklist matangazo yao yote siku hizi naona voda wananitumia flash msg unashangaa tu ujumbe juu ya screen ambao hamna option ya kublock. Yaani ni kama haya matangazo ni lazima utake usitake. Wanaboa sana
 
Ni sawa kabisa mkuu..hii kitu kama kuna setting za kuondoa nitaomba
Ili usipate hayo matangazo inakubidi uwe unazilipia hizo apps au usizifungue.
Hao wa matangazo ndio wanakufadhili wewe ugungue bure kama sikosei.
Chief-Mkwawa anaweza kutupa muongozo zaidi
 
Mi baada ya kuwa blacklist matangazo yao yote siku hizi naona voda wananitumia flash msg unashangaa tu ujumbe juu ya screen ambao hamna option ya kublock. Yaani ni kama haya matangazo ni lazima utake usitake. Wanaboa sana
Cheki ujinga kama huu
Screenshot_20240316-105145~2.png
 
Habarini wana jamvi, kumekuwa na utaratibu kwenye hizi simu za smart kuwekwa kwa matangazo lukuki ya biashara ambayo utake usitake lazima uangalie hadi mwisho, wakati huo cha kushamgaza wanaweka option ya ku quit tangazo hilo kama huitaji but hiyo option kwa kweli ni kama zuga tu maana hai respond chochote, yaan unajikuta unawekewa tangazo la dakika 10 uliangalie hadi mwisho. Hizi sera sipo worldwide au hapa bongo tu ili watupige mb zetu??
Huu mchezo upo sana kwenye Tecno na Infinix. Yes wanaiba MB tena nyingi tu... baadhi ya nchi TCRA zao zimewapiga stop ila hapa TZ bado wanaiba sana

 
Hio inaitwa class 0 msg ama flash message, ni kwa ajili ya emergency ila siku hizi inatumiwa vibaya kama hivyo. Kwa baadhi ya simu ina bypass hadi lock screen, unaweza kuwa umelala simu ipo full charge ukaamka battery low sababu ya hizi message.

Na most of time huwezi kuzitoa, kuna simu zina option ya kudisable emergency broadcast ila njia ya uhakika zaidi kuzitoa ni mtandao wa simu wenyewe kuacha kuzitumia.
 
Back
Top Bottom