Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 3,952
- 5,982
Nasikia ya kuwa iwapo mipaka mipya ya Bahari inayoombwa na Tanzania Bara, iwapo itakubalika ,Then siku Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika ukaja vunjika(GOD FORBID) visiwa husika vitakuwa vimezungukwa na Tanzania water,kama vile ilivyo Namibia na Botswana kuzungukwa na South Afrika? Je nikweli?