Tanganyika kuizunguka Zanzibar

Nasikia ya kuwa iwapo mipaka mipya ya Bahari inayoombwa na Tanzania Bara, iwapo itakubalika ,Then siku Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika ukaja vunjika(GOD FORBID) visiwa husika vitakuwa vimezungukwa na Tanzania water,kama vile ilivyo Namibia na Botswana kuzungukwa na South Afrika? Je nikweli?
Naona katika maisha yako mwalimu wa Jiografia hukuwahi kuonana naye hata siku moja.
 
Nasikia ya kuwa iwapo mipaka mipya ya Bahari inayoombwa na Tanzania Bara, iwapo itakubalika ,Then siku Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika ukaja vunjika(GOD FORBID) visiwa husika vitakuwa vimezungukwa na Tanzania water,kama vile ilivyo Namibia na Botswana kuzungukwa na South Afrika? Je nikweli?

Hapo kwenye red!!! Mwalimu wako wa Jiografia darasa la tano hakufanya kazi yake ipasavyo!!! Nchi zilizozungukwa na South Afrika ni Lesotho na Swaziland.!!! Anyway Zanzibar ni yetu hata kabla ya hii mipaka watu wake kiasili wametoka Bara wale watu hawakuota kama uyoga!! Kwa hiyo hatuwezi kuviachia visiwa vyetu ni sawasawa kuachia ngedere shamba la mahindi!!!!!!
 
Tibaijuka weka ramani kuonyesha kile ulichoomba na sio kutaja ukubwa eneo uliloomba ili wananchi wajue ukweli.
Kuwa muwazi na sio siasa kumbuka ardhi ni rasilimali za nchi.
fuatilia hilo andiko lilikwenda UN ramani ipo au unasubiri imwagwe hapa JF??
 
Wadau nimewasomeni,was just wanted to see how people react,wengine wanasoma neno hadi neno,wengine wanakurupuka na kujibu tu!. It is true kuwa Nchi zilizozungukwa na South Afrika ni Lesotho na Swaziland. Na nilipo iona ramani humu jamvini,yenye kuonyesha proposed boarders huo ndo ukweli,Wataweza vyunja muungano yes,but watakuwa wamezungukwa na maji ya Tanzania au mnasemaje wadau?
 
Hapo kwenye red!!! Mwalimu wako wa Jiografia darasa la tano hakufanya kazi yake ipasavyo!!! Nchi zilizozungukwa na South Afrika ni Lesotho na Swaziland.!!! Anyway Zanzibar ni yetu hata kabla ya hii mipaka watu wake kiasili wametoka Bara wale watu hawa
kuota kama uyoga!! Kwa hiyo hatuwezi kuviachia visiwa vyetu ni sawasawa kuachia ngedere shamba la mahindi!!!!!!
Mbumbumbu Jazz Band
 
Hebu tuweke sawa kwanza hapo hizo nchi kwenye red zimezungukwaje na South Africa?[/QU.... Labda alimanisha Swazland na SA, Guinea Bisau na SENEGAL?

Ninyi watu sijui mlisoma Jiografia enzi za Munga na waliomfuatia! Lesotho ndo
imezungukwa yote na SA, Swaziland imezungukwa na SA kwa karibu 90 percen na ilobaki imepakana na Msumbiji. Gambia nayo ndo imemezwa na Senegal isipokuwa mdomp tu ndo umepakana na Atlantic Ocean.
SA
 
Back
Top Bottom