Yap ipo basi (sikumbuk jina) Tanga-Handeni-Kiteto-Kondoa-Dodoma).Msaada tafadhali.
Na nauli yake imekaaje?
Ipo basi barabara ya16 ni 30kMsaada tafadhali. Tanga kuna usafiri wa moja kwa moja kwenda Kondoa kupitia Kiteto?
Na nauli yake imekaaje?
Unafika saa 12 jioni ukiondoka alfajiri ya saa 12.Ok , ni mwendo wa masaa mangapi??
Vumbi linaanzia Handeni-Kiteto (Kibaya)-Mrijo-Kondoa. Kipindi cha mvua jiandae kisaikolojia. MiTo mingi haina madarajaShukran sana mkuu. Inaonekana kipande kikubwa ni vumbi? Maaba nikiangalia kwenye map naona sio pakubwa sana.
Ndiyo sehumu kubwa ni vumbi ila inapitika pia inavituo vingi njianiShukran sana mkuu. Inaonekana kipande kikubwa ni vumbi? Maaba nikiangalia kwenye map naona sio pakubwa sana.